Serikali tunawaomba muifanye lugha ya Kigogo iwe lugha ya pili ya Taifa la Tanzania, kwa sababu hizi

Serikali tunawaomba muifanye lugha ya Kigogo iwe lugha ya pili ya Taifa la Tanzania, kwa sababu hizi

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Kigogo ni lugha ya Wagogo toka Dodoma, sababu zinazopelekea kuipendekeza lugha hii kuwa lugha ya Taifa ni:

Kwanza ina kitu tunachoita Yodo, kisomi Yodo ni hali ya muziki wa utulivu toka nyimbo za Afrika Kusini, Wanyakyusa, Wanaigeria na nyimbo za marehemu Komba.

Pili wanaozungumza Kiswahili cha Kigogo huwa na lafudhi tamu na huzungumza lugha ya Kiswahili katika utulivu mkubwa na inayovutia sana.

Nina ushahidi kuwa Professor mmoja toka UDSM aitwae Prof. Strumph Mmarekani toka idara ya FPA (Fine and Performing Arts) anaifanyia utafiti miziki ya kilugha ya Kigogo na huwa wanafunga safari kwenda Ugogoni.

Mwisho, tutatainua soko la ajira kwa walimu wa Kigogo na kuongeza uwanja wa Utalii kujifunza.

Mfano wa nyimbo wenye mahadhi ya Kigogo ni wa mwanamuziki wa injili Bibie Rose Muhando uitwao Moyo wangu.

Karibuni kwa maoni.
 
Kigogo ni lugha ya Wagogo toka Dodoma, sababu zinazopelekea kuipendekeza lugha hii kuwa lugha ya Taifa ni:

Kwanza ina kitu tunachoita Yodo, kisomi Yodo ni hali ya muziki wa utulivu toka nyimbo za Afrika Kusini, Wanyakyusa, Wanaigeria na nyimbo za marehemu Komba.

Pili wanaozungumza Kiswahili cha Kigogo huwa na lafudhi tamu na huzungumza lugha ya Kiswahili katika utulivu mkubwa na inayovutia sana.

Nina ushahidi kuwa Professor mmoja toka UDSM aitwae Prof. Strumph Mmarekani toka idara ya FPA (Fine and Performing Arts) anaifanyia utafiti miziki ya kilugha ya Kigogo na huwa wanafunga safari kwenda Ugogoni.

Mwisho, tutatainua soko la ajira kwa walimu wa Kigogo na kuongeza uwanja wa Utalii kujifunza.

Mfano wa nyimbo wenye mahadhi ya Kigogo ni wa mwanamuziki wa injili Bibie Rose Muhando uitwao Moyo wangu.

Karibuni kwa maoni.
Hizi bangi
Mnazovuta nihatari
 
Kabudi nae si ni mgogo, mbona anaongea kwa kufoka na kutoa macho?
 
Kigogo ni lugha ya Wagogo toka Dodoma, sababu zinazopelekea kuipendekeza lugha hii kuwa lugha ya Taifa ni:

Kwanza ina kitu tunachoita Yodo, kisomi Yodo ni hali ya muziki wa utulivu toka nyimbo za Afrika Kusini, Wanyakyusa, Wanaigeria na nyimbo za marehemu Komba.

Pili wanaozungumza Kiswahili cha Kigogo huwa na lafudhi tamu na huzungumza lugha ya Kiswahili katika utulivu mkubwa na inayovutia sana.

Nina ushahidi kuwa Professor mmoja toka UDSM aitwae Prof. Strumph Mmarekani toka idara ya FPA (Fine and Performing Arts) anaifanyia utafiti miziki ya kilugha ya Kigogo na huwa wanafunga safari kwenda Ugogoni.

Mwisho, tutatainua soko la ajira kwa walimu wa Kigogo na kuongeza uwanja wa Utalii kujifunza.

Mfano wa nyimbo wenye mahadhi ya Kigogo ni wa mwanamuziki wa injili Bibie Rose Muhando uitwao Moyo wangu.

Karibuni kwa maoni.
Hao walimu wa kigogo utawapata wapi, siyo kigogo tu, bali kila kijana anayezaliwa leo wa kabila lolote hapendi kuongea wala kuongeleshwa kilugha?
 
Kigogo ni lugha ya Wagogo toka Dodoma, sababu zinazopelekea kuipendekeza lugha hii kuwa lugha ya Taifa ni:

Kwanza ina kitu tunachoita Yodo, kisomi Yodo ni hali ya muziki wa utulivu toka nyimbo za Afrika Kusini, Wanyakyusa, Wanaigeria na nyimbo za marehemu Komba.

Pili wanaozungumza Kiswahili cha Kigogo huwa na lafudhi tamu na huzungumza lugha ya Kiswahili katika utulivu mkubwa na inayovutia sana.

Nina ushahidi kuwa Professor mmoja toka UDSM aitwae Prof. Strumph Mmarekani toka idara ya FPA (Fine and Performing Arts) anaifanyia utafiti miziki ya kilugha ya Kigogo na huwa wanafunga safari kwenda Ugogoni.

Mwisho, tutatainua soko la ajira kwa walimu wa Kigogo na kuongeza uwanja wa Utalii kujifunza.

Mfano wa nyimbo wenye mahadhi ya Kigogo ni wa mwanamuziki wa injili Bibie Rose Muhando uitwao Moyo wangu.

Karibuni kwa maoni.
TLP diehard
 
Back
Top Bottom