BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Serikali inatarajia kutumia Tsh. 31,329,180,963.16 kwaajili ya Ukarabati wa Uwanja wa Michezo wa Benjamin Mkapa kwa awamu ya kwanza ambapo hadi kufikia Aprili 2024 Tsh. Bilioni. 7.44 zimelipwa kwa Mkandarasi
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kupitia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, ukarabati huo unajumuisha Vyumba vya Wachezaji, Waandishi wa Habari, Watu Mashuhuri, Taa na Eneo la Kuchezea pamoja na Matangazo ya Kidigitali
Aidha, Wizara imesema awamu ya kwanza ya ukarabati katika maeneo mbalimbali katika Uwanja huo umefikia wastani wa kati ya Wastani wa 60%, 80%, 98% na maeneo mengine yamekamilika kwa 100%
Pia Soma:
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kupitia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, ukarabati huo unajumuisha Vyumba vya Wachezaji, Waandishi wa Habari, Watu Mashuhuri, Taa na Eneo la Kuchezea pamoja na Matangazo ya Kidigitali
Aidha, Wizara imesema awamu ya kwanza ya ukarabati katika maeneo mbalimbali katika Uwanja huo umefikia wastani wa kati ya Wastani wa 60%, 80%, 98% na maeneo mengine yamekamilika kwa 100%
Pia Soma:
- Kuna haja ya zile Bilioni 30 za ukarabati Uwanja wa Mkapa kufanyiwa Ukaguzi/Uchunguzi
- Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa
- Kamati ya bunge yaridhishwa na ukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa, yasisitiza ukamilike kwa wakati
- Waziri Dkt. Ndumbaro: Ukarabati Uwanja wa Mkapa Wafikia 95%