Serikali: Ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa utagharimu jumla ya Tsh. Bilioni 31 hadi kukamilika

Serikali: Ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa utagharimu jumla ya Tsh. Bilioni 31 hadi kukamilika

The math does not mathing! Mradi utagharimu bilioni 30. Mradi umekamilika kwa 60-70% na sehemu nyingine 100% kwa kutumia bilioni 7. Kazi iliyobaki itagharimu bilioni 23?

Amandla...
Umeambiwa awamu ya kwanza. Hizo % ni za awamu ya kwanza na sio project nzima ya ukarabati. Yani malengo ya awamu ya kwanza yametimia kwa zaidi ya 60%. Kwahiyo kuna awamu zingine ambazo hazijaanza kurekebishwa.
 
Duh!uwanja unaojengwa Kenya ni wa kimataifa na unabeba watu elfusitini utagharimu bilioni 35 lakini ukarabati wa uwanja wa mkapa wenye idadi hiyohiyo utagharimu bilioni 31.hii Nchi hii.
 
Umeambiwa awamu ya kwanza. Hizo % ni za awamu ya kwanza na sio project nzima ya ukarabati. Yani malengo ya awamu ya kwanza yametimia kwa zaidi ya 60%. Kwahiyo kuna awamu zingine ambazo hazijaanza kurekebishwa.
Serikali inatarajia kutumia Tsh. 31,329,180,963.16 kwaajili ya Ukarabati wa Uwanja wa Michezo wa Benjamin Mkapa kwa awamu ya kwanza ambapo hadi kufikia Aprili 2024 Tsh. Bilioni. 7.44 zimelipwa kwa Mkandarasi

Asante kwa kunisahihisha lakini aliyeleta mada ndie aliyesema kuwa Biilioni 31,329,180,963.16 ni kwa ajili ya awamu ya kwanza na hizo zilizolipwa ni kwa ajili ya awamu hiyo.

Kama kuna makosa yamefanywa basi yamefanywa na mleta mada. The math still doesn't mathing. Na kwa nini watoe gharama ya mradi mzima wakati wanazungumzia awamu ya kwanza tu? kama ni hivy, walipaswa kutoa makisio ya gharama ya awamu ya kwanza pamoja na makisio ya mradi mzima.

Amandla...
 
Back
Top Bottom