Serikali vijana wasio na ajira wameanza kunyanyua nondo!

kwamba wanaonyanyua vyuma ni kwa ajili ya kuwakaba shingo humanoid species kama mleta mada?
Sawa UmeshindaπŸ™ŒπŸ™Œ.. am out πŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈ
 
Uongo mtupu, kwa hiyo huo uchawa wako umeona ndio kazi ?
 
Serikali fanyeni namna watu wapate kazi watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,punde si punde wataanza kusema na shingo zetu kwenye vichochoro.. watu watabanwa mbavu watoe vya watu! Mi sisemi mengi
uko mtaa gani wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…