Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Serikali imesema idadi ya walimu wa shule za msingi na sekondari walioajiriwa ni 8,000 pekee tofauti na 13,000 inayolalamikiwa na wadau. Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt Laurean Ndumbalo amefafanua kuwa katika kibali cha ajira za walimu elfu 13 alichotoa Rais Magufuli wameajiri Walimu 8000 kwa awamu ya kwanza na awamu ya pili wataajiri Walimu 5000 ilikufikia idadi ya ajira elfu 13.
PIA, SOMA=> https://www.jamiiforums.com/threads/tazama-baadhi-ya-mapungufu-yaliyojitokeza-katika-majina-ya-ajira-za-ualimu-yaliyotolewa-jina-la-abadallah-leonard-shonde-lajirudia-mara-196.1814578/
PIA, SOMA=> https://www.jamiiforums.com/threads/tazama-baadhi-ya-mapungufu-yaliyojitokeza-katika-majina-ya-ajira-za-ualimu-yaliyotolewa-jina-la-abadallah-leonard-shonde-lajirudia-mara-196.1814578/