Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Bora useme mkuu...ingekuwa ni rahisi kiasi hicho hata walioko makazini wangeondoa leo leoMkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora useme mkuu...ingekuwa ni rahisi kiasi hicho hata walioko makazini wangeondoa leo leoMkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.
Kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha sana Mh. RaisMaelezo kuhusu hiyo elfu5 pungufu yakoje?
Naona kabisa kuna mtu ameshapoteza kibarua pale TAMISEMI 😎
Au wanafikisha ujumbe kuwa bila mawaziri wao hawawezi kufanya kazi kwa ufasaha!!Nawaza tuHapa kimya kimya mkuu
Nenda tena tamisemi kasome tangazo lao naona umeandika kwa mihemko sana.Ndumbaro acha upumbavu wa kina ndugai na mahera. Tangazo la ajira lilikuwa walimu 13,000. Baada ya wananchi kuona mapungufu makubwa kwenye orodha yenu ya waajiriwa ndiyo unakuja na usanii wa kijinga eti eti hii ni awamu ya kwanza ya walimu 8000. Wengine 5000 itakuwa awamu ya pili. Bila ya kukosolewa haya maelezo ungetoa ahera? Kwa taarifa yako hata awamu hii ya kwanza hawajafikia idadi ya 8000. Majina wamejirudiarudia na wengine hawana sifa.bHivi ujinga huu mtaacha lini? Wote mmekuwa watu wa kuokotwa majalalani? Serikali gani hii?
Mkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.
Mkuu edit basi hii kazi.Wataanza kukukosoa sasa hivi
Watu mkiwa nje mnaona poa sana......kwa siku watu tunatoka hata hatujauza na ni biashara za uhakika.Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Ni kweli nimekosea ni laki tano kama ukiweka hesabu ya kila mwaka laki moja kama wahitimu wa kila mwaka unapata laki tano...asante kwa masahihisho mkuu...
Acha nikwambie kutokana na kuongezeka kwa uandikishaji wa wanafunzi drs la 1 na kidato Cha Kwanza TZ kuna uhaba was walimu zaidi ya 40% Kama hujui ndo nakujuza. Serikali haiajiri kwa kuwa elimu sio kipaumbele chake kwa Sasa. Nikifikiriaga chozi huwa linanitoka.Swali gum mkuu, Sina jibu, waliokua kwenye serikali zao wanawaza tujuza, na nakubali kabisa kipindi hicho nafasi za kazi zilikuwa nyingi, KWA waliokua na uhitaji wa kufanya kazi serikalini, wengi walikua wanazikimbia kwenda secta binfsi kutokana na malipo,KWA Sasa kote kumebana,
Mpaka tena 2025 kama wapinzani wakiwabana kwenye swala la ajira.Kwa hiyo maana yake wataajiri na hao waliopungua au ndio basi
Duu hatari mkuuMpaka tena 2025 kama wapinzani wakiwabana kwenye swala la ajira.
Itakuwa ulimi ulimponyoka akataja 13000 badala ya 8000.Hizo 5,000 zinapelekwa wapi?