Elections 2010 Serikali: Walioachana mswada wa mapitio ya Katiba Zenji Wahuni

Elections 2010 Serikali: Walioachana mswada wa mapitio ya Katiba Zenji Wahuni

asilimia 4.5 kwa zanzibar ni kubwa sana ukizingatia uwiano wa idadi ya watu. kama watu 1m wanapata 4.5% na watu 43m wa nchi ileile wanabaki na 95.5% tu, kwa kweli hiyo si haki kabisa

halafu hilo la kudhaminiwa na serikali ya muungano, maana yake nchi ya zanzibar ikikataa kulipa, itailazimu nchi ta tamzania (bara) kubeba mzigo huo! hapa nahisi matope yalichukua nafasi ya ubongo ndani ya vichwa vilivyofikia uamuzi huu. kwa kweli maamuzi kama haya ndiyo yataharakisha kuvunjika kwa muungano huu
Miss Judith.
Mimi pia sioni sababu ya Muungano kuwepo kama unatutia hasara.
Tanganyika hautakiwi na Zanzibar hautakiwi....huu ni muungano wa viongozi tu.

Mimi nahisi umepiga mahesabu vibaya hapa.

Ungepiga mahesabu ya kibenki ungefahamu kuwa 4.5 ni ndogo sana kwa kuipatia nchi mshirika wa muungano.Regardless ya wingi au udogo ya wakaazi wake.

Ukienda benki kuweka akiba yako, benki inakupa riba.wakikupa 4.5%, wao huwa wanapata ngapi?

Siku mahesabu yakiwekwa wazi ndio tutajua kama hii biashara ina faida au haina.
Nafikiri ndio sababu viongozi wetu hawataki hata tuujadili.

Kama zilivyo rasilimali za TZ kuwa hazimsaidii mwananchi, na huu Muungano pia. Ni mtaji wa wajanja wachache tu.

Hata hivyo tuendelee kudai watuoneshe mapato na matumizi ya Muungano.
Kila kitu hapa TZ ni siri ya serikali.

Ama la kuwadhamini Zanzibar ni wazi kuwa viongozi wanaona ipo faida ya kufanya hivyo. kama kweli tunawabeba hawa na ni mzigo, basi tungewaacha wakajiondokea. wangejitafutia misaada bila ya udhamini wetu....bado nashawishika kuwa kuna siri kubwa ambayo watawala wetu hawataki sisi tuijue.

Mbona East African community ile ya mwanzo tulijitoa/tuliivunja tulipoona haina faida kwetu?
 
Miss Judith.
Mimi pia sioni sababu ya Muungano kuwepo kama unatutia hasara.
Tanganyika hautakiwi na Zanzibar hautakiwi....huu ni muungano wa viongozi tu.

Mimi nahisi umepiga mahesabu vibaya hapa.

Ungepiga mahesabu ya kibenki ungefahamu kuwa 4.5 ni ndogo sana kwa kuipatia nchi mshirika wa muungano.Regardless ya wingi au udogo ya wakaazi wake.

Ukienda benki kuweka akiba yako, benki inakupa riba.wakikupa 4.5%, wao huwa wanapata ngapi?

Siku mahesabu yakiwekwa wazi ndio tutajua kama hii biashara ina faida au haina.
Nafikiri ndio sababu viongozi wetu hawataki hata tuujadili.

Kama zilivyo rasilimali za TZ kuwa hazimsaidii mwananchi, na huu Muungano pia. Ni mtaji wa wajanja wachache tu.

Hata hivyo tuendelee kudai watuoneshe mapato na matumizi ya Muungano.
Kila kitu hapa TZ ni siri ya serikali.

Ama la kuwadhamini Zanzibar ni wazi kuwa viongozi wanaona ipo faida ya kufanya hivyo. kama kweli tunawabeba hawa na ni mzigo, basi tungewaacha wakajiondokea. wangejitafutia misaada bila ya udhamini wetu....bado nashawishika kuwa kuna siri kubwa ambayo watawala wetu hawataki sisi tuijue.

Mbona East African community ile ya mwanzo tulijitoa/tuliivunja tulipoona haina faida kwetu?

Yawezekana kwenye msaada humo huwa wanadai zanzibar wameipa 10% na kuhalisia wanaipa 1%. Ndio maana utashangaa kwanini viongozi wa Tanganyika wanaung'ang'ania sana ili hiali bila % fulani wanayopata viongozi ktk connection hiyo, Tanganyika inapata hasara sana ktk huo muungano.

Muungano ni ufisadi mkubwa sana uliojificha.
 
hawana shukrani kabisa hawa, ni sawa na kumsaidia mtu kisha anakutukana. huu muungano ni product ya cold war, una manufaa kwa wazanzibari kuliko watanganiyika. muungano wa hovyo kuliko yo yote iliyopo duniani.
Huo ni ukweli usiopingika. Kwa nini bara ing'ang'anie kuwabeba watu hao wasiothamini fadhila wanazozipata kutoka bara? Muungano uvunjike tu kwa sasa ili wajitegemee na wapate kuonja joto la jiwe kutokana na ubaguzi wao ambao naamini utawatafuna wao kwa wao.
 
Muhuni ni yeye huyu samia suluhu hassan,analewa,anafanyiwa viLE VILE,muangalieni muslamu gani anatembea kichwa wazi,kwa uwislamu tunakuita wewe muhuni,,,kudadadekiiii

Tuombe radhi tafadhali zako,hapa huru sheik wetu tumeunga nae pia muhuni ? Viongozi wetu pia wahuni ? WEWE Takecare ohooo

Akija zenji ndo anajidai kujifanya kujistiri akija bongo kumbee ndo hivyoo mara unamuona kwa macheniiiView attachment 27236

Naona hapa umechemka ...kwani kuvaa KILEMBA NDIO UISILAMU? au unakurupuka?
Kwa mtizamo wangu, hakuna mantiki yoyote kati ya kilemba na uislamu. Hapa mwisho utatuambia hata Kanzu ni nguo ya waislamu.
nadhani unahitaji kurudi Madrasa ukasome upya:help:
 
Makosa hapa, ni Serikali zote kuingilia mchakato, kama tunataka amani ni basi swala la muungano serikali ziwe neutral na kuwaachia wananchi kujadili na kuamua. Huyu Samia, tangu lini kaupenda Muungano? ni uongo wa ajabu saana watu tuna detail zake akiukandya akitaka tutashusha
Kwa sasa hawezi kuukandia muungano maana ndipo anapopatia ulaji. Ni mnafiki huyo, asingepata uwaziri angeendelea kuukandia tu.
 
Fadhila gani tunazopata Wazanzibari zaidi ya kutukandamiza ndani ya nchi yetu wenyewe. Kama ni mzigo kwanini msiutue? Nyinyi ndio ving'ang'anizi ambao mmeivamia Zanzibar.

Baada ya kudai Tanganyika yenu mlioitosa wenyewe sasa mmebakia kuchonga tu.

Hio jeuri yenu ndio inayotupa nguvu za kudai haraka the Second Republic.

We cant wait to see your backs.

"If I could tow that island out into the middle of Indian Ocean, Id' do it." - J K Nyerere

You got it all wrong Mzee RIP
 
Fadhila gani tunazopata Wazanzibari zaidi ya kutukandamiza ndani ya nchi yetu wenyewe. Kama ni mzigo kwanini msiutue? Nyinyi ndio ving'ang'anizi ambao mmeivamia Zanzibar.

Baada ya kudai Tanganyika yenu mlioitosa wenyewe sasa mmebakia kuchonga tu.

Hio jeuri yenu ndio inayotupa nguvu za kudai haraka the Second Republic.

We cant wait to see your backs.

”If I could tow that island out into the middle of Indian Ocean, Id’ do it.” - J K Nyerere

You got it all wrong Mzee RIP
Hamad Rashid acha ubaguzi
Nyerere united Tanganyika with impurities(islies),leo mmekuja na udini uku bara mnatuchefua jamani nyie CUF.
 
Hamad Rashid acha ubaguzi
Nyerere united Tanganyika with impurities(islies),leo mmekuja na udini uku bara mnatuchefua jamani nyie CUF.


Mimi si Mhe. Hamad Rashid lakini huo udini wa CUF uko wapi.

Jadili hoja kijana maana ujue kwa hili Wazanzibar hawana u CUF wala u CCM kwa taarifa yako.

Kwanini mnaing'ang'ania Zanzibar hivi hamidai Tanganyika yenu?

Ama nyie ndio maana mnapoteza lengo, hata adui yenu hamujui.
 
hawana shukrani kabisa hawa, ni sawa na kumsaidia mtu kisha anakutukana. huu muungano ni product ya cold war, una manufaa kwa wazanzibari kuliko watanganiyika. muungano wa hovyo kuliko yo yote iliyopo duniani.

sasa kama hawana shukurani kwanini bado mnalazimisha Muungano...Wazanzibari hawataki ...
 
Sie bara hatuna neno Adui,nyie ndo mna Upemba na U-unguja,karibu kwetu kiwanja utapata mkuu,mke utapata n.k hatubaguani na hatutabaguana kamwe.Nchi nyingi zinawaza unification wewe unawaza separation.
 
asilimia 4.5 kwa zanzibar ni kubwa sana ukizingatia uwiano wa idadi ya watu. kama watu 1m wanapata 4.5% na watu 43m wa nchi ileile wanabaki na 95.5% tu, kwa kweli hiyo si haki kabisa

halafu hilo la kudhaminiwa na serikali ya muungano, maana yake nchi ya zanzibar ikikataa kulipa, itailazimu nchi ta tamzania (bara) kubeba mzigo huo! hapa nahisi matope yalichukua nafasi ya ubongo ndani ya vichwa vilivyofikia uamuzi huu. kwa kweli maamuzi kama haya ndiyo yataharakisha kuvunjika kwa muungano huu

mwisho sio sawa kwa waziri kuwaita wote wasiokubaliana na mawazo yake, ya chamachake na ya serikali yake kuwa ni wahuni. hapo anapaswa kuomba radhi kwa wazanzibari wenzake.

huyu mama kama sikosei alichaguliwa kuwemo kwenye CC mpya ya ccm, kwa msingi huu, naamini ccm haijajivua gamba bado

wazanzibari hawataki kuzaminiwa kuomba mikopo. hili ni moja kati ya hizo kero za muungano ya kwamba kila kitu wanachotaka kufanya Zanzibar lazima wao,Tanganyika waamue. Sasa inategemea JK na kundi lake wameamka vipi...
 
Sie bara hatuna neno Adui,nyie ndo mna Upemba na U-unguja,karibu kwetu kiwanja utapata mkuu,mke utapata n.k hatubaguani na hatutabaguana kamwe.Nchi nyingi zinawaza unification wewe unawaza separation.

umeona wapi Muungano wa nchi masikini??? Tangu lini watu weusi wakawa na muungano wa kudumu, bila dhulma na ujanja ndani yake? kwanini makubaliano ya muungano yakiukwe?:disapointed: Kwanini hapo mwanzo tanganyika hawakusema kama sisi ni wengi kwahiyo tutawaamulieni nini kizuri na nini kibaya kwenu? Mambo ya muungano yalikua 11 sasa 40 na Tanganyika wanayaigiza kila siku bila ya ridhaa ya wanachi wa Zanzibar .Bila ya serikali TATU muungano na ufe.
 
Tunazungumza Muungano hapa? Yote hayo siyahitajii maana nnayo. Nyinyi ni wabaguzi wakubwa wa kutupwa, wadanganye wasiojua na ni kutokana na fitna zenu ndio mkafanikiwa kutufikisha hapa tulipo.

Kama ziko za aina hio hata sisi tusingesema lakini naona nnazojua mimi wanaunda trade blocks na sio mmoja kumkalia mwengine kama Tanganyika na Zanzibar.

Ukinitajia hizo unazodai kuwaza unification, mimi ntamalizia zilizo na zinazotaka self determination.
 
...Kama ni mzigo kwanini msiutue? Nyinyi ndio ving'ang'anizi ambao mmeivamia Zanzibar.
Ni kweli kabisa, sisi Tanganyika ndio tunang'ang'ania Muungano, pamoja na viongozi wa Zanzibar.

Wananchi wa Zanzibar hawataki Muungano.


attachment.php
 
Wakikosa hoja ndio wanakuja na mambo haya ya udini na ukabila. Mnayo kazi kubwa Watanganyika kumbe kuliko nilivyofikiria. Kazi kwenu.

"Zanzibar Zindabad"
 
Sadakta maneno yako Taso, tena ni wa CCM kwa maslahi yao kwani ndio wanaofaidi.

Nashangaa mtu kusema Wazanzibari wanafaidi, hawana shukrani, kumbe kuna common enemy anaetuyumbisha sote.
 
muhuni ni yeye huyu samia suluhu hassan,analewa,anafanyiwa vile vile,muangalieni muslamu gani anatembea kichwa wazi,kwa uwislamu tunakuita wewe muhuni,,,kudadadekiiii

tuombe radhi tafadhali zako,hapa huru sheik wetu tumeunga nae pia muhuni ? Viongozi wetu pia wahuni ? Wewe takecare ohooo

akija zenji ndo anajidai kujifanya kujistiri akija bongo kumbee ndo hivyoo mara unamuona kwa macheniiiView attachment 27236

nyie wenzetu wasunni hamuijui uislamu na mnataka kudandia dandia tu treni. Kwani kuvaa kibarakashee ndoo uislamu!! Au kuvaa kanzu ndio tija. Kanzu sio vazi la kiislamu ni vazi tu la waarabu ambao kuna wakristo na wasio kuwa na dini. Ndio maana wengine wanadhani kuvaa hijabu ni vazi rasmi ambayo dini yetu imetoa ktk koruani. Na wako tayali kupigana sabab ya hilo. Huo ni upotoshaji jamani. Kasome tena ndugu yangu
masalaama
 
Back
Top Bottom