Serikali wapeni motisha walimu wa shule zilizopata daraja 1 na la 2.

augustino ameri

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
267
Reaction score
57
Kwa wastani matokeo sio mazur nchi nzima,lakini kwa nini sasa walimu walio pata madaraja ya 1 na2 wasipate promotion.kwani kuna baadh ya wilaya hakuna daraja 1 kabisa.Tumezoea kuona baadh ya taasisi zikipewa zawad ya kuongezewa mishahara au vyeo kama motisha na serikali.Nashauri serikali kuwa motisha hii italeta ushindani kwa walimu shuleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…