Matumizi mabaya ya resources ukiwaza huo mfumo, hauna maana.
Unampima mtu, unapata majibu unamwacha anaenda nyumbani. Kesho unaajili watu kwenda kumsaka/ kuwasaka???
1: Hiyo keshokutwa unamkuta ameambukiza wangapi? au
2: Kajipima vitu vingine kutafuta anaumwa nini mara ngapi? Resources?
3: Kaongeza msongamano kwenye vituo vya afya mara ngapi?
4: Wangapi wamekufa baada ya kuwapima kwa mtindo huo?
Umetumia muda wa mtu wa laboratory unaongeza kazi, unatumia vitendanishi na unatumia vitabu vya data. Unasaidikaje kama taifa?? Vifaa vyenyewe hata kuvinunua ni shida??
Si bora ungetunza mawasiliano yao?? Na huyo mtu akikushitaki kwa kumpima bila consent yake??
It's too theoretical, niambie kituo chenye data za waliopima na kwenda nyumbani kimyakimya kwa siku za hivi leo. Wakati kila anaegundulika ana HIV anatakiwa kuanza dawa.