The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Michezo ni sekta rasmi kama sekta zingine inatakiwa ichangie Pato la Taifa na itoe ajira na burudani pia.
Ni aibu kwa Nchi kubwa kama Tanzania yenye washabiki wengi wa mpira na wacheza kamali yaani betting wa kuyosha kushindwa kuwa na viwanja vya kisasa vya michezo (sports complex) walau Kimoja kila Kanda.
Yaani tunazidiwa na vinchi vya ajabu ajabu na maskini kama Cameron, Ghana, Mauritania nk.
Kwa kuwa betting ni starehe kama starehe zingine wekeni Tozo kwa kila Shilingi inayotumika kwenye betting ambayo itaingia kwenye Mfuko wa kuendeleza michezo Tanzania, na moja ya activity zake iwe ni kujenga miundombinu ya michezo ya aina zote ya kisasa hasa sports complex na arena, walau tuwe navyo kila kanda.
Pili makampuni ya betting yanatakiwa kisheria kuchangia mfuko huo na pia kuyalazimisha kuwa wafadhili wa timu, pia nao lazima wachangie kwenye Mfuko huo on top of Kodi wanayolipa.
Tukienda hivyo itasaidia kuinua michezo yetu na kuifanya biashara rasmi,pia tutaweza kuandaa mashindano makubwa kama Afcon, CHan, All Africa Games nk.
Ni aibu kwa Nchi kubwa kama Tanzania yenye washabiki wengi wa mpira na wacheza kamali yaani betting wa kuyosha kushindwa kuwa na viwanja vya kisasa vya michezo (sports complex) walau Kimoja kila Kanda.
Yaani tunazidiwa na vinchi vya ajabu ajabu na maskini kama Cameron, Ghana, Mauritania nk.
Kwa kuwa betting ni starehe kama starehe zingine wekeni Tozo kwa kila Shilingi inayotumika kwenye betting ambayo itaingia kwenye Mfuko wa kuendeleza michezo Tanzania, na moja ya activity zake iwe ni kujenga miundombinu ya michezo ya aina zote ya kisasa hasa sports complex na arena, walau tuwe navyo kila kanda.
Pili makampuni ya betting yanatakiwa kisheria kuchangia mfuko huo na pia kuyalazimisha kuwa wafadhili wa timu, pia nao lazima wachangie kwenye Mfuko huo on top of Kodi wanayolipa.
Tukienda hivyo itasaidia kuinua michezo yetu na kuifanya biashara rasmi,pia tutaweza kuandaa mashindano makubwa kama Afcon, CHan, All Africa Games nk.