Serikali/ Wizara ya Elimu tafuteni waalimu wa Kiingereza kutoka Uingereza

Serikali/ Wizara ya Elimu tafuteni waalimu wa Kiingereza kutoka Uingereza

Acha kuendekeza ubeberu, kuwa mzalendo na ujikite kueneza Kiswahili hadi huko ng’ambo.
 
Ndugu.

Kwanza lazima ujue mtu anajifunzaje lugha 1.Experience of language
2.Kitivo cha lugha(ubongo)
3.Universal language.
Sasa kama mtanzania anaexperience ya kiswahili 30%.ndio kiswahili ndio lugha mamma.Lakin 70% ya watanzania kiswahili ni lugha ya pili baada ya lugha za makabila,kwa hiyo kiingereza ni lugha ya 3.sasa Unataka mtu ambaye kwake lugha ya 3 iwe sawa na lugha mama.That's impossible.Cha kufanya tuhakjkishe watu wanajua kingereza kwa kiwango cha kawaida japo kujieleza kidogo(cha kuombea maji).sisi tujikite na lugha yetu ya kiswahili ambayo pia inatupiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu.
Takwimu za utumiaji wa lugha mama katika uchochezi na maendeleo wa Elimu, Mila na desturi, na hata uchumi zinapatikana.
Zinaonyesha kuwa, katika katika kumuelimisha mtoto kuwa na tija tukutu. Zinaonyesha kuwa zinajenga uelewa wa kutathmini "your environmemt" hapa, utamaduni, mila na desturi n.k...
...Ikiwezekana utumiaji wa lugha mama...iwe ni ya kikabila, ya kigeni ina changia kiasi kikubwa katika uelewa, basi watoto wafundishwe kwa lugha hizo mpaka darasa la tatu au nne...Kujichanganya na lugha usizozilewa kuna dhorotesha maendeleo ya mawasiliano, elimu kwa ujumla na hata utamaduni ikiwa pamoja na mila na desturi za mtumiaji/watumiaji.
Kweli hata lugha ya kiswahili ni geni na hata kiingereza, umuhimu wa kutambua ni vipi tunaweza kujikwamua kwenye sarakasi hizi ni kutambua kuwa Umuhimu wa lugha mama ni muhimu.
 
Shida ipo kwenye exposure, watoto wa sekondari wanaweza kuthibitiwa angalau wawapo katika mazingira ya shule wawasiliane kwa kiingereza, siyo kuwaacha watwange kiswahili toka shuleni hadi mitaani
 
Kikubwa ni kuwasiliana. Je, huyo unayeongea naye Ki-English anakuelewa? Kama anakuelewa shida iko wapi?
 
Mfumo wa ellimu yetu ndo tatizo,,,,,chukilia kwa mfano mtoto mdogo wa chekechea anasoma na kufundishwa mitaani na walimu wasioeleweka kwenye mfumo wetu wa elimu baada ya hapo huyo mtoto anaingia darasa la kwanza baada ya kuandaliwa na mwalimu ambaye sio professional tunategemea nini hapo sasa.
Mapendekezo yangu
1. Wajiliwe walimu competent kwenye
lugha ya kingereza ili watoto
kuanzia chekechea wafundishwena
hao watu
2. Mitaala isiyoendana na wakati
ihuishwe ili iendane na dunia ya
sasa ya technology
3. Maslahi ya walimu yaboreshe
kusiwepo ujanja ujanja maana elimu
ndo dira kuu ya nchi
4. Siasa kwenye elimu haitakiwi
kabisa zaidi tuwachie wataalamu
wafanye kazi zao kwa uhuru
 
Ndugu.


Ndugu.
Takwimu za utumiaji wa lugha mama katika uchochezi na maendeleo wa Elimu, Mila na desturi, na hata uchumi zinapatikana.
Zinaonyesha kuwa, katika katika kumuelimisha mtoto kuwa na tija tukutu. Zinaonyesha kuwa zinajenga uelewa wa kutathmini "your environmemt" hapa, utamaduni, mila na desturi n.k...
...Ikiwezekana utumiaji wa lugha mama...iwe ni ya kikabila, ya kigeni ina changia kiasi kikubwa katika uelewa, basi watoto wafundishwe kwa lugha hizo mpaka darasa la tatu au nne...Kujichanganya na lugha usizozilewa kuna dhorotesha maendeleo ya mawasiliano, elimu kwa ujumla na hata utamaduni ikiwa pamoja na mila na desturi za mtumiaji/watumiaji.
Kweli hata lugha ya kiswahili ni geni na hata kiingereza, umuhimu wa kutambua ni vipi tunaweza kujikwamua kwenye sarakasi hizi ni kutambua kuwa Umuhimu wa lugha mama ni muhimu.
Umenena vema ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba hata hiki kidogo tulicho nacho yafaa tujipongeze.

Lugha gani uyakayoimudu vizuri kama huna muda mwingi wa kuiongea?

Chukulia mwanafunzi katika shule za Tanzania kuanzia msingi hadi sekondari.

Darasani mwalimu anafundisha somo kwa kiswahili lakini mwanafunzi atatakiwa kujibu kwa kiingereza katika karatasi.

Nje ya darasa na hata akirudi nyumbani ni kiswahili tu. Mwanafunzi wa namna hiyo atapataje weledi wa lugha kumshinda anayetumia 25% ya siku akiongea kiingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malawi, Zambia, Zimbabwe, Uganda na Namibia nchi za SADC wanaweza kusaidia somo la Kiingereza kwa dharura wakati serikali ikijipanga kuwa waalimu wa kiTanzania wa mchepuo wa kiingereza na literature wapelekwe kusoma ktk nchi hizo tajwa za SADC.

"Mada hii itamfanya mwanafunzi aanze kuelewa na kumuandaa kuja kuwa mzungumzaji mzuri wa lugha ya Kiingereza".
Source : Global TV online
 
Back
Top Bottom