Serikali/Wizara ya Habari hamuwaoni Mamodel/video queen kama huyu??

Serikali/Wizara ya Habari hamuwaoni Mamodel/video queen kama huyu??

sasa wizara itafanya nini kama mzazi, boyfriend, shehe na mchungaji kamshindwa, wizara haiwezi ingilia mipango ya Mungu
 
a99a3d465875c041e1b54e3ee2fbb731.jpg
9028a62c3a1292a5fb469aeee1ddaa5f.jpg

Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani?
Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni
Utamaduni na maadili ya Mtanzania yanakwenda wapi?
Yupo Amber Lulu,Gigy Money,Amber lutty na sasa kaibuka huyu anaitwa Agness
Itabidi hawa walipe kodi manake kwanza wanatutia stimu tu Sie malijari.[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
unaweza jikuta uko chumvini bila kutarajia
 
Mara nying hawa watu wanategemewa na familia zao kwa kila kitu so whatever they doing is good to family...

Tofaut na hivyo anakuwa na mzazi mmoja(mama) eidha yatima....so they take a stuation as advantage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona havutii...hana msambwanda wa haja..kabaya
 
Ila ni kazurii.

....Basi sawa, ila huwa nashangazwa na jambo moja hivi kwa nini unakuta mrembo ana nyusi nzuuri naturally but badala ya kuzi trim/punguza anazinyoa zote then anapaka tena wanja/rangi nyeusi kwenye maeneo ambapo amenyoa nyusi?
 
S
a99a3d465875c041e1b54e3ee2fbb731.jpg
9028a62c3a1292a5fb469aeee1ddaa5f.jpg

Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani?
Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni
Utamaduni na maadili ya Mtanzania yanakwenda wapi?
Yupo Amber Lulu,Gigy Money,Amber lutty na sasa kaibuka huyu anaitwa Agness
Itabidi hawa walipe kodi manake kwanza wanatutia stimu tu Sie malijari.[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
So what?
 
Jamani hizi anapigia wapi na nani mpiga picha!! Dah kajitoa mhanga yaani huyu ni zaidi ya wale waonajivisha mabomu kwenda kujilipua kwene kundi la watu!! Hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a99a3d465875c041e1b54e3ee2fbb731.jpg
9028a62c3a1292a5fb469aeee1ddaa5f.jpg

Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani?
Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni
Utamaduni na maadili ya Mtanzania yanakwenda wapi?
Yupo Amber Lulu,Gigy Money,Amber lutty na sasa kaibuka huyu anaitwa Agness
Itabidi hawa walipe kodi manake kwanza wanatutia stimu tu Sie malijari.[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hapo bila milioni hupigi mzigo,,!!
 
Back
Top Bottom