Serikali/Wizara ya Habari hamuwaoni Mamodel/video queen kama huyu??

Serikali/Wizara ya Habari hamuwaoni Mamodel/video queen kama huyu??

a99a3d465875c041e1b54e3ee2fbb731.jpg
9028a62c3a1292a5fb469aeee1ddaa5f.jpg

Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani?
Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni
Utamaduni na maadili ya Mtanzania yanakwenda wapi?
Yupo Amber Lulu,Gigy Money,Amber lutty na sasa kaibuka huyu anaitwa Agness
Itabidi hawa walipe kodi manake kwanza wanatutia stimu tu Sie malijari.[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Weka na namba zake tafadhali
 
Umemsahau na huyu mjumbe wa kamati kuu chadema anataka kutoa yake ya moyoni
Recently+Updated7.jpg
 
Ila inabidi tujue tupo kwenye uchumi wa ubebari...mtu yupo free kufanya chochote ilimradi havunji sheria za nchi. Mimi sijaona kama kuna sheria inayokataza mtu kupiga picha na kuweka online.
Kama mtu anakukukera ni kuwacha kuwangalia very simple tu hapa ni kama umetoa free promo kwa huyu dada watu kama hawa wanapenda sana kuongelewa dawa ni kuacha kuwafuatilia na kuwaongelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom