Serikali ya awamu ya sita imetekeleza Ilani Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 katika Eneo la Umwagiliziaji kwa asilimia 82 mpaka sasa

Serikali ya awamu ya sita imetekeleza Ilani Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 katika Eneo la Umwagiliziaji kwa asilimia 82 mpaka sasa

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Serikali ya awamu ya sita imetekeleza Ilani Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 katika Eneo la Umwagiliziaji kwa asilimia 82 mpaka sasa.

Lengo lilikuwa ni Kuongeza eneo lenye miundombinu mpaka kufikia hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025 Ambapo hadi mwaka 2024 Eneo la umwagiliaji LIMEONGEZA hadi kufikia hekta 983,466.06 hiyo ni kutokana na maelekezo ya Ilani ya Chama cha Mapinduzi Ibara ya 37(A)(a)

Wajumbe tukutane Jijini Dodoma tarehe 18-19 Januari 2025 katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi kusherehekea mafanikio yetu.

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
 

Attachments

  • VID-20250117-WA0004.mp4
    13.4 MB
Hii miradi ya 82% Iko mikoa Gani,wilaya zipi,kata zipi,vijiji Gani na vitongoji Gani?
Samia amewahi kuzitembelea au anazisoma kwenye makabrasha TU?
 
Serikali ya awamu ya sita imetekeleza Ilani Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 katika Eneo la Umwagiliziaji kwa asilimia 82 mpaka sasa.

Lengo lilikuwa ni Kuongeza eneo lenye miundombinu mpaka kufikia hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025 Ambapo hadi mwaka 2024 Eneo la umwagiliaji LIMEONGEZA hadi kufikia hekta 983,466.06 hiyo ni kutokana na maelekezo ya Ilani ya Chama cha Mapinduzi Ibara ya 37(A)(a)

Wajumbe tukutane Jijini Dodoma tarehe 18-19 Januari 2025 katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi kusherehekea mafanikio yetu.

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Serikali hii iliyo chini ya Mama Samia kipenzi cha watanzania hakika kazi aliyoifanya nasema mitano tena hadi 2030
 
Hii miradi ya 82% Iko mikoa Gani,wilaya zipi,kata zipi,vijiji Gani na vitongoji Gani?
Samia amewahi kuzitembelea au anazisoma kwenye makabrasha TU?
Unngesema kwa upande wako uko mkoa gani upewe details mkuu, kazi zinafanyika huku ground kwa wingi na weredi wake
 
Back
Top Bottom