BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Wizara ya Mambo ya Ndani imesema uamuzi huo dhidi ya National Freedom Council (CNL)umetokana na malalamiko yaliyowasilishwa na viongozi 8 wa chama hicho, waliodai kufukuzwa ndani ya chama baada ya kumpinga Rais wa chama .
Katibu Mkuu wa chama, Simon Bizimungu, amepinga uamuzi huo na kuuelezea kuwa ni ukiukaji mkubwa wa Katiba pamoja na mipango ya jaribio la kudhoofisha harakati za CNL kuelekea kwenye Uchaguzi wa Wabunge mwaka 2025.
Serikali imesema shughuli zote zitazoandaliwa na Chama hicho zitakuwa kinyume na utaratibu na zimesitishwa mara moja. Mikutano pekee inayoruhusiwa ni ya kujadili mvutano ulioko ndani ya chama pekee.
===========
Burundi's Interior ministry announced the suspension of The National Freedom Council, the main opposition party, citing "irregularities" that critics called an attempt to stifle dissent ahead of the 2025 legislative elections.
The ministry said it was responding to complaints by eight leaders from the party, also known as CNL. These leaders were ousted after opposing the party's president, Agathon Rwasa, in two recent party congresses.
"All activities organised by irregularly constituted groups are suspended nationwide," the ministry said.
"Only meetings aimed at easing tensions within the party are authorised," the ministry added.
Analysts say that the move announced in a letter released Tuesday by the Interior ministry, risks rekindling the political turmoil that has wracked the country in recent years.
The party's secretary general, Simon Bizimungu, told AFP the ruling was a "serious violation of the constitution" and said it was "an attempt to weaken the CNL ahead of the 2025 legislative elections".
"There is no tension or opposition within the party. It's just a question of eight opponents without any influence, but who have the backing of public powers," he said.
THE EAST AFRICAN