Serikali ya CCM haitaki kabisa kuwekeza kwenye maendeleo ya watu, wanawekeza kwenye vitu, Umasikini ni mtaji wao

Serikali ya CCM haitaki kabisa kuwekeza kwenye maendeleo ya watu, wanawekeza kwenye vitu, Umasikini ni mtaji wao

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hii nchi zinaimbwa miradi kuchwa nzima kuanzia Madaraja,mara Barabara mara reli na kadhalika.

Ila huko huko kwenye hizo Barabara, Madaraja, reli kuna umasikini wa kutisha kabisa, Kule Kigongo Busisi vuka ingia hapo Sengerema kuna Poverty ya kutisha kabisa, Sogea hapo Geita kwa Msukuma kuna Umasikini acha kabisa.

Raia walisha ingia kwenye mfumo wa CCM na wao wanaimba vitu maendeleo ya vitu ilihali mlo tu ni shida kwao tena nI mjini kwenye rami, umeme na kila kitu.

Umasikini wa kutisha upo maeneo yote yenye miundo mbinu na yasio na miundo mbinu, kote kumejaaa umasikini wa kutisha.

Tena mijini ndio kumejaaa umasikini wa kutisha, kumbuka mjini kuna kila miundo mbinu.

Ukifuatilia Habari za China au India, kule wana Project za aina mbili za Miundombinu na Project za kulift raia kutoka kwenye umasikini.

China mfano Project za kulift wachina kutoka kwenye umasikini ni pamoja na Project za;

  • Kilimo
  • Uvuvi
  • Ufugaji
-Viwanda vidogovidogo vya mikono na kadhalika.

Hizo na zingine zinakuwa financed pesa nyingi sana ili kuondoa raia kwenye umasikini.

Tanzania hio haipo na umasikini ni mtaji mkubwa sana wa CCM na ili CCM iendelee kutawala lazima umasikini uwepo.
 
Hii nchi zinaimbwa miradi kuchwa nzima kuanzia Madaraja,mara Barabara mara reli na kadhalika.

Ila huko huko kwenye hizo Barabara, Madaraja, reli kuna umasikini wa kutisha kabisa, Kule Kigongo Busisi vuka ingia hapo Sengerema kuna Poverty ya kutisha kabisa, Sogea hapo Geita kwa Msukuma kuna Umasikini acha kabisa.

Raia walisha ingia kwenye mfumo wa CCM na wao wanaimba vitu maendeleo ya vitu ilihali mlo tu ni shida kwao tena nI mjini kwenye rami, umeme na kila kitu.

Umasikini wa kutisha upo maeneo yote yenye miundo mbinu na yasio na miundo mbinu, kote kumejaaa umasikini wa kutisha.

Tena mijini ndio kumejaaa umasikini wa kutisha, kumbuka mjini kuna kila miundo mbinu.

Ukifuatilia Habari za China au India, kule wana Project za aina mbili za Miundombinu na Project za kulift raia kutoka kwenye umasikini.

China mfano Project za kulift wachina kutoka kwenye umasikini ni pamoja na Project za;

  • Kilimo
  • Uvuvi
  • Ufugaji
-Viwanda vidogovidogo vya mikono na kadhalika.

Hizo na zingine zinakuwa financed pesa nyingi sana ili kuondoa raia kwenye umasikini.

Tanzania hio haipo na umasikini ni mtaji mkubwa sana wa CCM na ili CCM iendelee kutawala lazima umasikini uwepo.
They know whatu wakishakuwa powerful hawatoweza kuwa control
 
Hii nchi zinaimbwa miradi kuchwa nzima kuanzia Madaraja,mara Barabara mara reli na kadhalika.

Ila huko huko kwenye hizo Barabara, Madaraja, reli kuna umasikini wa kutisha kabisa, Kule Kigongo Busisi vuka ingia hapo Sengerema kuna Poverty ya kutisha kabisa, Sogea hapo Geita kwa Msukuma kuna Umasikini acha kabisa.

Raia walisha ingia kwenye mfumo wa CCM na wao wanaimba vitu maendeleo ya vitu ilihali mlo tu ni shida kwao tena nI mjini kwenye rami, umeme na kila kitu.

Umasikini wa kutisha upo maeneo yote yenye miundo mbinu na yasio na miundo mbinu, kote kumejaaa umasikini wa kutisha.

Tena mijini ndio kumejaaa umasikini wa kutisha, kumbuka mjini kuna kila miundo mbinu.

Ukifuatilia Habari za China au India, kule wana Project za aina mbili za Miundombinu na Project za kulift raia kutoka kwenye umasikini.

China mfano Project za kulift wachina kutoka kwenye umasikini ni pamoja na Project za;

  • Kilimo
  • Uvuvi
  • Ufugaji
-Viwanda vidogovidogo vya mikono na kadhalika.

Hizo na zingine zinakuwa financed pesa nyingi sana ili kuondoa raia kwenye umasikini.

Tanzania hio haipo na umasikini ni mtaji mkubwa sana wa CCM na ili CCM iendelee kutawala lazima umasikini uwepo.
sasa unadhani ukilalamika ndiyo kuna kitu utakibadilisha gentleman?

kua maskini au tajiri Tanzania ni uamuzi wa mtu binafsi tu.

Nini hakuna ndio uje kulalamikia wengine? Nani kakuzuia kuleta mageuzi kwenye hayo makalamiko yako yasiyo na mbadala?

huna mawazo mapya, huna fikra mbadala kwenye malalamiko yako, utamshawishi nani aungane nawe kulalamika gentleman?🐒
 
sasa unadhani ukilalamika ndiyo kuna kitu utakibadilisha gentleman?

kua maskini au tajiri Tanzania ni uamuzi wa mtu binafsi tu.

Nini hakuna ndio uje kulalamikia wengine? Nani kakuzuia kuleta mageuzi kwenye hayo makalamiko yako yasiyo na mbadala?

huna mawazo mapya, huna fikra mbadala kwenye malalamiko yako, utamshawishi nani aungane nawe kulalamika gentleman?🐒
Unategemea kama tungewezeshwa Kwa mikopo ya pembejeo zana uvuvi,ufugaji, uchimbaji madini na hata mitaji midogo akili ingetukaa sawa mda mwingi tungetumia kufanya kazi siyo kwenye uchawa tena
 
Unategemea kama tungewezeshwa Kwa mikopo ya pembejeo zana uvuvi,ufugaji, uchimbaji madini na hata mitaji midogo akili ingetukaa sawa mda mwingi tungetumia kufanya kazi siyo kwenye uchawa tena
gentleman,
hakuna kumtegemea mwingine, mambo yamebadilika mno, ni muhimu sana kujifunza kujitegemea..

Niliwahi kuamini kwamba hapatatokea nyakati ambazo taasisi za fedha zitawafuata vijana, wakulima, wafugaji, wafanyabiashara au makundi mengine mbalimbali wakapelekewa mikopo nyumbani..
Sasa hivi huko vijijini ndicho kinachofanyika..
Vijanaa wanakopeshwa na wanasonga mbele..

na mikopo ni miongoni mwa nyenzo muhimu sana za kujikwamua na kujitoa kabisa kwenye lindi la umaskini wa kutupwa, nidhamu ya matumizi ya fedha ikiwepo..

na mikopo kwa ajili ya shughuli za kiuchumi miongoni mwa ulizozitaja, ipo bwerere sana katika kila halmashauri lakini pia kwenye taasisi mbalimbali za fedha..

nendeni kama kikundi mkachukue mikopo hiyo kuondokana na malalamiko 🐒
 
Back
Top Bottom