Serikali ya CCM iliahidi kutengeneza njia nne mlima wa Mbalizi Mbeya hadi leo kimya, Dr. Tulia sasa wewe ndio mbunge wa Mbeya, unasubiri vifo vingapi?


Kenge huwa hasikii mpka damu zitike masikioni
 

ubunge wa tulia mbeya ni wa magumashi yye mwenyewe analijua hilo ni nguvu ya jiwe iliyompa ubunge,
 
Hii imetokea Jana, Mana nilisikia gari la zima moto mida ya saa sita jana
 
Hili eneo inabidi kuongeza njia , mbali na hilo ni kufanya diversion ili gari ndogo na malori yapite njia tofauti, Mana Mara nyingi malori yanafeli breki yanaenda kusimamia ifisi,
 
Mbioni kuanza👇



 
Subiri 2025 Sugu akichukua Jimbo lake.
Figisu za Chalamila kutomtaja Sugu kwamba ndio mshindi halali ndio zimesababisha yote haya.
 
Moja kioindi kigumu chadema wanapitia Ni Cha sas HV mnk hela wanataka ruzuku wanataka ila hawataki wabunge kuwafukuza kina mdee inataka ujasiri na ikiwa mbowe na kina lissu atawatetea bas jueni kuwa huku mtaani hamtaeleweka na chama hcho huwenda ikapasuka vipand vinne
Skm gang
Msoga gang
Lissu gang
Mbowe gaga
 
Arusha Tina barabar ndefu kutoka tengeru had ngaramtoni njia nne Sasa Ni wkt wa mbeya kupata baraba kutuka uyole had mbalizi baraba nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…