Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Wanaongoza wizara ya michezo hawajui lolote kuhusu soka ushahidi ni waziri wa sasa
Asilimia kubwa ya viwanja vinavyochezewa ligi kuu ni mali ya ccm lakini Hawana muda wa kuviboresha viwanja vibovu na tff wala haiwaimizi kuvirekebisha
Kila siku matamko yasiyo na Tija
Asilimia kubwa ya viwanja vinavyochezewa ligi kuu ni mali ya ccm lakini Hawana muda wa kuviboresha viwanja vibovu na tff wala haiwaimizi kuvirekebisha
Kila siku matamko yasiyo na Tija