BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kenya wanapeleka wachezaji 79 kwenye Olympic mwaka huu, na Olympic ndio imekuwa inaitangaza sana Kenya Kimataifa.
Timu ya Olyimpic ya Kenya ikiwa Ikulu sijaona Wamevaa ujinga ujinga sijui picha za Ruto ujinga, Ingekuwa ni Tanzania ya wajinga hio timu yote ingevalishwa tshirt zenye picha ya Malikia na Ikulu ingejaa makada wa CCM kwenda kuongea ujinga ujinga tupu.
Pamoja na kufanya Royol tour bado Kenya wanapokea watalii wengi kuliko Tanzania na Sababu kubwa ni Olympic game na michezo kama ile ya Riadha ya Dunia.
Tanzania kwa akili za kuvukia Barabara eti tunategemea Simba na Yanga watangaze utalii kimataifa, how? Yaani Taifa limekuwa la kijinga sana, Reasoning hakuna tunawaza kwa kutumia kamasi.
Tungewekeza kwenye michezo kama ya Olympic tungetangaza sana nchi na utalii bila gharama ila kwa sababu wajinga wamejaaa Yanga na Simba so tunakomaaa kununua magori ili kuvutia wajinga.
CCM wao wanacho jua michezo ni yanga na Simba tu, hawana habari na Riadha wala nini, Uwanja wa Mkapa haujawahi tumiwa kwa riadha na badala yake kwa sasa unatumiwa na UVCCM kueneza ujinga kwa vijana mazezeta wa hili Taifa.
Tumebakia kuhubiriana amani ujinga ujinga tupu, Okay Amani na tunashindwa kupeleka timu ya maana Olympic?
Simba na Yanga hizi mashindano ya ndondo ya Africa ndio watangaze Utalii? Rwanda inavyo valisha timu za EPL Visit Rwanda unazani ni wajinga? kwamba Kagame na watalamu wake hawana akili na sisi ndio tuna akili sana tuna tumia Yanga na Simba kutangaza utalii. Taifa limejaa ujinga mwingi sana.
Na ukiuliza sasa zile misukule za Yanga na Simba zinajua fika kweli zinatangaza utalii.
Pamoja na kufanya Royol tour bado Kenya wanapokea watalii wengi kuliko Tanzania na Sababu kubwa ni Olympic game na michezo kama ile ya Riadha ya Dunia.
Tanzania kwa akili za kuvukia Barabara eti tunategemea Simba na Yanga watangaze utalii kimataifa, how? Yaani Taifa limekuwa la kijinga sana, Reasoning hakuna tunawaza kwa kutumia kamasi.
Tungewekeza kwenye michezo kama ya Olympic tungetangaza sana nchi na utalii bila gharama ila kwa sababu wajinga wamejaaa Yanga na Simba so tunakomaaa kununua magori ili kuvutia wajinga.
CCM wao wanacho jua michezo ni yanga na Simba tu, hawana habari na Riadha wala nini, Uwanja wa Mkapa haujawahi tumiwa kwa riadha na badala yake kwa sasa unatumiwa na UVCCM kueneza ujinga kwa vijana mazezeta wa hili Taifa.
Tumebakia kuhubiriana amani ujinga ujinga tupu, Okay Amani na tunashindwa kupeleka timu ya maana Olympic?
Simba na Yanga hizi mashindano ya ndondo ya Africa ndio watangaze Utalii? Rwanda inavyo valisha timu za EPL Visit Rwanda unazani ni wajinga? kwamba Kagame na watalamu wake hawana akili na sisi ndio tuna akili sana tuna tumia Yanga na Simba kutangaza utalii. Taifa limejaa ujinga mwingi sana.
Na ukiuliza sasa zile misukule za Yanga na Simba zinajua fika kweli zinatangaza utalii.