Serikali ya CCM kwa sababu za kisiasa iko busy na Yanga na Simba, haina muda na Olympic ambayo ni zaidi ya Royal Tour

Serikali ya CCM kwa sababu za kisiasa iko busy na Yanga na Simba, haina muda na Olympic ambayo ni zaidi ya Royal Tour

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kenya wanapeleka wachezaji 79 kwenye Olympic mwaka huu, na Olympic ndio imekuwa inaitangaza sana Kenya Kimataifa.

Screenshot_20240707_083540_com.facebook.katana.jpg
Timu ya Olyimpic ya Kenya ikiwa Ikulu sijaona Wamevaa ujinga ujinga sijui picha za Ruto ujinga, Ingekuwa ni Tanzania ya wajinga hio timu yote ingevalishwa tshirt zenye picha ya Malikia na Ikulu ingejaa makada wa CCM kwenda kuongea ujinga ujinga tupu.

Pamoja na kufanya Royol tour bado Kenya wanapokea watalii wengi kuliko Tanzania na Sababu kubwa ni Olympic game na michezo kama ile ya Riadha ya Dunia.

Tanzania kwa akili za kuvukia Barabara eti tunategemea Simba na Yanga watangaze utalii kimataifa, how? Yaani Taifa limekuwa la kijinga sana, Reasoning hakuna tunawaza kwa kutumia kamasi.

Tungewekeza kwenye michezo kama ya Olympic tungetangaza sana nchi na utalii bila gharama ila kwa sababu wajinga wamejaaa Yanga na Simba so tunakomaaa kununua magori ili kuvutia wajinga.

CCM wao wanacho jua michezo ni yanga na Simba tu, hawana habari na Riadha wala nini, Uwanja wa Mkapa haujawahi tumiwa kwa riadha na badala yake kwa sasa unatumiwa na UVCCM kueneza ujinga kwa vijana mazezeta wa hili Taifa.

Tumebakia kuhubiriana amani ujinga ujinga tupu, Okay Amani na tunashindwa kupeleka timu ya maana Olympic?

Simba na Yanga hizi mashindano ya ndondo ya Africa ndio watangaze Utalii? Rwanda inavyo valisha timu za EPL Visit Rwanda unazani ni wajinga? kwamba Kagame na watalamu wake hawana akili na sisi ndio tuna akili sana tuna tumia Yanga na Simba kutangaza utalii. Taifa limejaa ujinga mwingi sana.

Na ukiuliza sasa zile misukule za Yanga na Simba zinajua fika kweli zinatangaza utalii.
 
Kenya Olympic team yao inawatangaza sana
Tanzania wamengangania usimba yanga ubongo movie usanii,usanii wenyewe hauna kichwa wala mguu

Ova
Angalia Bongo Movie kule Korea, yaani wanaenda kumtanga Raisi, sio hata wavae fulana zenye picha ya Mlima Kilimanjaro hapana wanamtangaza Samia, Wakorea waje Tanzania kumona Samia, Wakorea wenyewe wanatushangaa tulivyo na kiwango duni cha kufikiri.
 
yaani inauma sana Nchi imebalikiwa Kwa kila kitu lakini bado tunaumasiki wa kutupwa..Angalia Taifa BRUNEI Lina gas na Madini lakini limeweza kuwa ni taifa lenye uvhumi mkubwa na maendeleo makubwa
 
Bila kutokea machafuko ama mapinduzi ya kijesh, sisi tunaotaka mabadiliko ya kweli ya kifikra na kiutawala tutaendelea kuteseka sana kwa aina ya siasa hizi za kipuuzi.
 
Uwanja wa Mkapa una uwanja wa riadha ila uliza kama usha wahi tumika kwa riadha. Unatumika kwa Chawa wa CCM yanga na simba tu.

Riadha haina wafuasi wengi wa kutengeneza uchawa, ndio maana sasa CCM na Serikali yao wameamua kuutumia kama Factory ya kuzalishia Chawana kipindi hiki ligi zimesimama na kuongeza idadi ya wajinga, huenda hadi mwaka 2030 tukawa na taifa lenye wajinga asilimia 99 kwa sasa ni asilimia 90.

Wakenya wako Ulaya kwenye mashindano mbalimbali ra riadha wanakiwasha sana na kutangaza Taifa lao, Tanzania Bongo move eti ndio wako Korea Kusini na fulana za Mama wakitangaza Taifa, hivi Steve Nyerere anaweza tangaza utalii upi? wa Pimbi?

Screenshot_20240707_214136_com.facebook.katana.jpg

Huyo Mwanariadha hapo kaitangaza sana nchi yake kuliko hata ile tour yetu. Sisi tunangoja eti Yanga na Simba watangaze utalii.

Hao wana riadha wa Kenya sio Chawa wala sio wajinga na hawajikombi kwa ruto, hawamlambi Ruto miguu wao wanawakilisha Taifa basi na sio vinginevyo na hawaitwi hata Ikulu.
 
KWELI MWENGE UMEILOGA WADANGANYIKA.TSHIRT YA MAMA NA UTALII?BIG SHAME
 
Back
Top Bottom