Serikali ya CCM na mkakati wa kuua “opposition generation” kupitia “election fraud”

Serikali ya CCM na mkakati wa kuua “opposition generation” kupitia “election fraud”

WOWOWO

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2011
Posts
599
Reaction score
456
Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa “kitengo” kufanya kazi yake basi CCM ingekuwa historia.



Kimsingi vyombo vya dola (Hapa ieleweke Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa-TISS) toka wakati huo ndiyo vimejigeuza kuwa CCM. Oganaizesheni na ushawishi wa CCM vimekufa rasmi, kilichobaki ni instruments za vyombo hivi ambavyo kikatiba vinapaswa kuwa ‘politically impartial and disengaged’. Vinapaswa kuwa tayari kusimamia katiba na kuhakikisha maslahi ya Taifa na matakwa ya wananchi yanalindwa na kuakisiwa kila wakati.



Kuanzia kipindi hicho, ilieleweka na kuwa wazi rasmi kuwa CCM hakiwezi kushinda uchaguzi tena wowote kama utaachwa ufanyike kwa uwazi, safi, salama na kwa amani. Ilibainika kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ndicho kilishinda na kwa umaarufu wake ndicho chama cha kizazi cha sasa. Sasa nini CCM na dola iliamua kuanzia wakati huo?



  1. Hakuna uchaguzi wowote kuachwa ufanyike kwa haki, uwazi na amani, ikiwa ni pamoja na kutoruhusu opposition voices kwenye siasa na state leadership. Hapa ni kwa miongo kadhaa ili ‘kuua’ political generation ya sasa, kupitia waliopo kuzeeka na wanaobaki kupoteza popularity. Kwa sasa imepotea miaka 10. Ikifika 2030 ni 15, 2035 ni 20. Umri na generation matters here.
  2. Kuzuia political activism mashuleni na kwa vijana ibuka. Hii inafanywa kwa lengo la kuua generational link. Inakwenda sambamba na kuzuia siasa vyuoni, kufukuza wanaojihusisha na wale wanaoibuka kutishwa au kupotezwa kabisa. Deus Soka na wenzake ni mfano.
  3. Kuharamisha shughuli za siasa za upinzani na uanaharakati na kuwavika uharamu na ujinai wale wote wanaojihusisha. Hii ni kazi inayofanywa na Jeshi la Polisi na TISS zaidi. Kwamba kila kunapotokea political oppression au hata utekaji na mauaji yao vyombo hivi haraka huhakikisha wakandamizwaji wanavishwa uharamu na ujinai. Kujenga picha ya ki-generation(generational imagination) kwamba shughuli hizo ni haramu na wanaozifanya wanastahili wanayoyapitia.
  4. Katika uharamishaji huu, CCM imesimama katika kujiingiza kikamilifu kwenye siasa za watoto na vijana wa mashuleni. Kujenga kizazi cha baadaye kulichopumbazika na kuwa indoctrinated na upuuzi, huku ikiharamisha actors wengine kufanya activism. Hapa utaona ni mkakati ulio dhahiri.
  5. Kujenga mazingira ya lawlessness, impunity na unconstitutionality bila accountability. Hii ni kama transitional state ambayo wametengeneza ili kutengeneza cover up kwa yeyote anayesaidia misheni yao ya “generational transition”. Hapa hautaona kukemea au hatua yotote dhidhi ya kiumbe yeyote anayetekeleza misheni hiyo pana. Actually, there is reward. Makonda’s comeback ni somo kuu.
  6. Kwakuwa msingi wa vyombo vya dola na utawala wa nchi umejengwa katika maslahi ya kujaza mifuko binafsi ya “wachache” na umma umelala usingizi wa pono, basi misheni hii wameipa uhakika wa 100% kutimia in 2035. Hawa wachache, wenye kunemeeka na mifumo wanaanda watoto na vijana wao kuendeleza wanapoishia. Kwahiyo, Wokovu pekee ni waliowengi, ambao wanaendelea kufukarishwa na kutwezwa kuamka na kusema hapana. Hili kama halitatokea na kuungwa mkono na wazalendo ndani ya mfumo uliooza wa CCM na wale walioko kwenye vyombo vya dola hususan TISS na JWTZ basi nchi iko kwenye kasi ya kupoteza utaifa na kuwa genge.


Wakatabzabu, WOWOWO…
 
Hakuna faida ya upinzani Tanzania.
Watanzania walipohojiwa hawakuutaka upinzani ila Mwalimu aliona ni busara uwepo.
 
Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa “kitengo” kufanya kazi yake basi CCM ingekuwa historia.



Kimsingi vyombo vya dola (Hapa ieleweke Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa-TISS) toka wakati huo ndiyo vimejigeuza kuwa CCM. Oganaizesheni na ushawishi wa CCM vimekufa rasmi, kilichobaki ni instruments za vyombo hivi ambavyo kikatiba vinapaswa kuwa ‘politically impartial and disengaged’. Vinapaswa kuwa tayari kusimamia katiba na kuhakikisha maslahi ya Taifa na matakwa ya wananchi yanalindwa na kuakisiwa kila wakati.



Kuanzia kipindi hicho, ilieleweka na kuwa wazi rasmi kuwa CCM hakiwezi kushinda uchaguzi tena wowote kama utaachwa ufanyike kwa uwazi, safi, salama na kwa amani. Ilibainika kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ndicho kilishinda na kwa umaarufu wake ndicho chama cha kizazi cha sasa. Sasa nini CCM na dola iliamua kuanzia wakati huo?



  1. Hakuna uchaguzi wowote kuachwa ufanyike kwa haki, uwazi na amani, ikiwa ni pamoja na kutoruhusu opposition voices kwenye siasa na state leadership. Hapa ni kwa miongo kadhaa ili ‘kuua’ political generation ya sasa, kupitia waliopo kuzeeka na wanaobaki kupoteza popularity. Kwa sasa imepotea miaka 10. Ikifika 2030 ni 15, 2035 ni 20. Umri na generation matters here.
  2. Kuzuia political activism mashuleni na kwa vijana ibuka. Hii inafanywa kwa lengo la kuua generational link. Inakwenda sambamba na kuzuia siasa vyuoni, kufukuza wanaojihusisha na wale wanaoibuka kutishwa au kupotezwa kabisa. Deus Soka na wenzake ni mfano.
  3. Kuharamisha shughuli za siasa za upinzani na uanaharakati na kuwavika uharamu na ujinai wale wote wanaojihusisha. Hii ni kazi inayofanywa na Jeshi la Polisi na TISS zaidi. Kwamba kila kunapotokea political oppression au hata utekaji na mauaji yao vyombo hivi haraka huhakikisha wakandamizwaji wanavishwa uharamu na ujinai. Kujenga picha ya ki-generation(generational imagination) kwamba shughuli hizo ni haramu na wanaozifanya wanastahili wanayoyapitia.
  4. Katika uharamishaji huu, CCM imesimama katika kujiingiza kikamilifu kwenye siasa za watoto na vijana wa mashuleni. Kujenga kizazi cha baadaye kulichopumbazika na kuwa indoctrinated na upuuzi, huku ikiharamisha actors wengine kufanya activism. Hapa utaona ni mkakati ulio dhahiri.
  5. Kujenga mazingira ya lawlessness, impunity na unconstitutionality bila accountability. Hii ni kama transitional state ambayo wametengeneza ili kutengeneza cover up kwa yeyote anayesaidia misheni yao ya “generational transition”. Hapa hautaona kukemea au hatua yotote dhidhi ya kiumbe yeyote anayetekeleza misheni hiyo pana. Actually, there is reward. Makonda’s comeback ni somo kuu.
  6. Kwakuwa msingi wa vyombo vya dola na utawala wa nchi umejengwa katika maslahi ya kujaza mifuko binafsi ya “wachache” na umma umelala usingizi wa pono, basi misheni hii wameipa uhakika wa 100% kutimia in 2035. Hawa wachache, wenye kunemeeka na mifumo wanaanda watoto na vijana wao kuendeleza wanapoishia. Kwahiyo, Wokovu pekee ni waliowengi, ambao wanaendelea kufukarishwa na kutwezwa kuamka na kusema hapana. Hili kama halitatokea na kuungwa mkono na wazalendo ndani ya mfumo uliooza wa CCM na wale walioko kwenye vyombo vya dola hususan TISS na JWTZ basi nchi iko kwenye kasi ya kupoteza utaifa na kuwa genge.


Wakatabzabu, WOWOWO…
CCM wanatengeneza mazingira ya kuja kuliingiza taifa katika umwagaji mkubwa wa damu, wamefanikiwa kwa sasa kutumia mabavu ya dola kudhibiti upinzani na kuondoa maana halisi ya siasa za ushindani na thamani ya sanduku la kura. Kwa vile wamechagua kubaki madarakani kwa kutumia mitutu ya bunduki ni dhahiri wamefungua njia ya kuondolewa madarakani kwa njia hiyo hiyo.
 
Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa “kitengo” kufanya kazi yake basi CCM ingekuwa historia.



Kimsingi vyombo vya dola (Hapa ieleweke Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa-TISS) toka wakati huo ndiyo vimejigeuza kuwa CCM. Oganaizesheni na ushawishi wa CCM vimekufa rasmi, kilichobaki ni instruments za vyombo hivi ambavyo kikatiba vinapaswa kuwa ‘politically impartial and disengaged’. Vinapaswa kuwa tayari kusimamia katiba na kuhakikisha maslahi ya Taifa na matakwa ya wananchi yanalindwa na kuakisiwa kila wakati.



Kuanzia kipindi hicho, ilieleweka na kuwa wazi rasmi kuwa CCM hakiwezi kushinda uchaguzi tena wowote kama utaachwa ufanyike kwa uwazi, safi, salama na kwa amani. Ilibainika kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ndicho kilishinda na kwa umaarufu wake ndicho chama cha kizazi cha sasa. Sasa nini CCM na dola iliamua kuanzia wakati huo?



  1. Hakuna uchaguzi wowote kuachwa ufanyike kwa haki, uwazi na amani, ikiwa ni pamoja na kutoruhusu opposition voices kwenye siasa na state leadership. Hapa ni kwa miongo kadhaa ili ‘kuua’ political generation ya sasa, kupitia waliopo kuzeeka na wanaobaki kupoteza popularity. Kwa sasa imepotea miaka 10. Ikifika 2030 ni 15, 2035 ni 20. Umri na generation matters here.
  2. Kuzuia political activism mashuleni na kwa vijana ibuka. Hii inafanywa kwa lengo la kuua generational link. Inakwenda sambamba na kuzuia siasa vyuoni, kufukuza wanaojihusisha na wale wanaoibuka kutishwa au kupotezwa kabisa. Deus Soka na wenzake ni mfano.
  3. Kuharamisha shughuli za siasa za upinzani na uanaharakati na kuwavika uharamu na ujinai wale wote wanaojihusisha. Hii ni kazi inayofanywa na Jeshi la Polisi na TISS zaidi. Kwamba kila kunapotokea political oppression au hata utekaji na mauaji yao vyombo hivi haraka huhakikisha wakandamizwaji wanavishwa uharamu na ujinai. Kujenga picha ya ki-generation(generational imagination) kwamba shughuli hizo ni haramu na wanaozifanya wanastahili wanayoyapitia.
  4. Katika uharamishaji huu, CCM imesimama katika kujiingiza kikamilifu kwenye siasa za watoto na vijana wa mashuleni. Kujenga kizazi cha baadaye kulichopumbazika na kuwa indoctrinated na upuuzi, huku ikiharamisha actors wengine kufanya activism. Hapa utaona ni mkakati ulio dhahiri.
  5. Kujenga mazingira ya lawlessness, impunity na unconstitutionality bila accountability. Hii ni kama transitional state ambayo wametengeneza ili kutengeneza cover up kwa yeyote anayesaidia misheni yao ya “generational transition”. Hapa hautaona kukemea au hatua yotote dhidhi ya kiumbe yeyote anayetekeleza misheni hiyo pana. Actually, there is reward. Makonda’s comeback ni somo kuu.
  6. Kwakuwa msingi wa vyombo vya dola na utawala wa nchi umejengwa katika maslahi ya kujaza mifuko binafsi ya “wachache” na umma umelala usingizi wa pono, basi misheni hii wameipa uhakika wa 100% kutimia in 2035. Hawa wachache, wenye kunemeeka na mifumo wanaanda watoto na vijana wao kuendeleza wanapoishia. Kwahiyo, Wokovu pekee ni waliowengi, ambao wanaendelea kufukarishwa na kutwezwa kuamka na kusema hapana. Hili kama halitatokea na kuungwa mkono na wazalendo ndani ya mfumo uliooza wa CCM na wale walioko kwenye vyombo vya dola hususan TISS na JWTZ basi nchi iko kwenye kasi ya kupoteza utaifa na kuwa genge.


Wakatabzabu, WOWOWO…
Thank You fir insightful read
 
Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa “kitengo” kufanya kazi yake basi CCM ingekuwa historia.



Kimsingi vyombo vya dola (Hapa ieleweke Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa-TISS) toka wakati huo ndiyo vimejigeuza kuwa CCM. Oganaizesheni na ushawishi wa CCM vimekufa rasmi, kilichobaki ni instruments za vyombo hivi ambavyo kikatiba vinapaswa kuwa ‘politically impartial and disengaged’. Vinapaswa kuwa tayari kusimamia katiba na kuhakikisha maslahi ya Taifa na matakwa ya wananchi yanalindwa na kuakisiwa kila wakati.



Kuanzia kipindi hicho, ilieleweka na kuwa wazi rasmi kuwa CCM hakiwezi kushinda uchaguzi tena wowote kama utaachwa ufanyike kwa uwazi, safi, salama na kwa amani. Ilibainika kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ndicho kilishinda na kwa umaarufu wake ndicho chama cha kizazi cha sasa. Sasa nini CCM na dola iliamua kuanzia wakati huo?



  1. Hakuna uchaguzi wowote kuachwa ufanyike kwa haki, uwazi na amani, ikiwa ni pamoja na kutoruhusu opposition voices kwenye siasa na state leadership. Hapa ni kwa miongo kadhaa ili ‘kuua’ political generation ya sasa, kupitia waliopo kuzeeka na wanaobaki kupoteza popularity. Kwa sasa imepotea miaka 10. Ikifika 2030 ni 15, 2035 ni 20. Umri na generation matters here.
  2. Kuzuia political activism mashuleni na kwa vijana ibuka. Hii inafanywa kwa lengo la kuua generational link. Inakwenda sambamba na kuzuia siasa vyuoni, kufukuza wanaojihusisha na wale wanaoibuka kutishwa au kupotezwa kabisa. Deus Soka na wenzake ni mfano.
  3. Kuharamisha shughuli za siasa za upinzani na uanaharakati na kuwavika uharamu na ujinai wale wote wanaojihusisha. Hii ni kazi inayofanywa na Jeshi la Polisi na TISS zaidi. Kwamba kila kunapotokea political oppression au hata utekaji na mauaji yao vyombo hivi haraka huhakikisha wakandamizwaji wanavishwa uharamu na ujinai. Kujenga picha ya ki-generation(generational imagination) kwamba shughuli hizo ni haramu na wanaozifanya wanastahili wanayoyapitia.
  4. Katika uharamishaji huu, CCM imesimama katika kujiingiza kikamilifu kwenye siasa za watoto na vijana wa mashuleni. Kujenga kizazi cha baadaye kulichopumbazika na kuwa indoctrinated na upuuzi, huku ikiharamisha actors wengine kufanya activism. Hapa utaona ni mkakati ulio dhahiri.
  5. Kujenga mazingira ya lawlessness, impunity na unconstitutionality bila accountability. Hii ni kama transitional state ambayo wametengeneza ili kutengeneza cover up kwa yeyote anayesaidia misheni yao ya “generational transition”. Hapa hautaona kukemea au hatua yotote dhidhi ya kiumbe yeyote anayetekeleza misheni hiyo pana. Actually, there is reward. Makonda’s comeback ni somo kuu.
  6. Kwakuwa msingi wa vyombo vya dola na utawala wa nchi umejengwa katika maslahi ya kujaza mifuko binafsi ya “wachache” na umma umelala usingizi wa pono, basi misheni hii wameipa uhakika wa 100% kutimia in 2035. Hawa wachache, wenye kunemeeka na mifumo wanaanda watoto na vijana wao kuendeleza wanapoishia. Kwahiyo, Wokovu pekee ni waliowengi, ambao wanaendelea kufukarishwa na kutwezwa kuamka na kusema hapana. Hili kama halitatokea na kuungwa mkono na wazalendo ndani ya mfumo uliooza wa CCM na wale walioko kwenye vyombo vya dola hususan TISS na JWTZ basi nchi iko kwenye kasi ya kupoteza utaifa na kuwa genge.


Wakatabzabu, WOWOWO…
Inasemekana CHADEMA hawajajipanga, ACT wazalendo ndio mkombozi wa wanyonge.
 
Uchafuzi huu wa serikali za Mitaa 2024, Kuua na kutekwa wapinzani+ wanaharakati bila kusahau Mkataba wa DP World ni MADOA makubwa sana kwako bibi Chura kiziwi..BADILIKA
 
Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa “kitengo” kufanya kazi yake basi CCM ingekuwa historia.



Kimsingi vyombo vya dola (Hapa ieleweke Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa-TISS) toka wakati huo ndiyo vimejigeuza kuwa CCM. Oganaizesheni na ushawishi wa CCM vimekufa rasmi, kilichobaki ni instruments za vyombo hivi ambavyo kikatiba vinapaswa kuwa ‘politically impartial and disengaged’. Vinapaswa kuwa tayari kusimamia katiba na kuhakikisha maslahi ya Taifa na matakwa ya wananchi yanalindwa na kuakisiwa kila wakati.



Kuanzia kipindi hicho, ilieleweka na kuwa wazi rasmi kuwa CCM hakiwezi kushinda uchaguzi tena wowote kama utaachwa ufanyike kwa uwazi, safi, salama na kwa amani. Ilibainika kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ndicho kilishinda na kwa umaarufu wake ndicho chama cha kizazi cha sasa. Sasa nini CCM na dola iliamua kuanzia wakati huo?



  1. Hakuna uchaguzi wowote kuachwa ufanyike kwa haki, uwazi na amani, ikiwa ni pamoja na kutoruhusu opposition voices kwenye siasa na state leadership. Hapa ni kwa miongo kadhaa ili ‘kuua’ political generation ya sasa, kupitia waliopo kuzeeka na wanaobaki kupoteza popularity. Kwa sasa imepotea miaka 10. Ikifika 2030 ni 15, 2035 ni 20. Umri na generation matters here.
  2. Kuzuia political activism mashuleni na kwa vijana ibuka. Hii inafanywa kwa lengo la kuua generational link. Inakwenda sambamba na kuzuia siasa vyuoni, kufukuza wanaojihusisha na wale wanaoibuka kutishwa au kupotezwa kabisa. Deus Soka na wenzake ni mfano.
  3. Kuharamisha shughuli za siasa za upinzani na uanaharakati na kuwavika uharamu na ujinai wale wote wanaojihusisha. Hii ni kazi inayofanywa na Jeshi la Polisi na TISS zaidi. Kwamba kila kunapotokea political oppression au hata utekaji na mauaji yao vyombo hivi haraka huhakikisha wakandamizwaji wanavishwa uharamu na ujinai. Kujenga picha ya ki-generation(generational imagination) kwamba shughuli hizo ni haramu na wanaozifanya wanastahili wanayoyapitia.
  4. Katika uharamishaji huu, CCM imesimama katika kujiingiza kikamilifu kwenye siasa za watoto na vijana wa mashuleni. Kujenga kizazi cha baadaye kulichopumbazika na kuwa indoctrinated na upuuzi, huku ikiharamisha actors wengine kufanya activism. Hapa utaona ni mkakati ulio dhahiri.
  5. Kujenga mazingira ya lawlessness, impunity na unconstitutionality bila accountability. Hii ni kama transitional state ambayo wametengeneza ili kutengeneza cover up kwa yeyote anayesaidia misheni yao ya “generational transition”. Hapa hautaona kukemea au hatua yotote dhidhi ya kiumbe yeyote anayetekeleza misheni hiyo pana. Actually, there is reward. Makonda’s comeback ni somo kuu.
  6. Kwakuwa msingi wa vyombo vya dola na utawala wa nchi umejengwa katika maslahi ya kujaza mifuko binafsi ya “wachache” na umma umelala usingizi wa pono, basi misheni hii wameipa uhakika wa 100% kutimia in 2035. Hawa wachache, wenye kunemeeka na mifumo wanaanda watoto na vijana wao kuendeleza wanapoishia. Kwahiyo, Wokovu pekee ni waliowengi, ambao wanaendelea kufukarishwa na kutwezwa kuamka na kusema hapana. Hili kama halitatokea na kuungwa mkono na wazalendo ndani ya mfumo uliooza wa CCM na wale walioko kwenye vyombo vya dola hususan TISS na JWTZ basi nchi iko kwenye kasi ya kupoteza utaifa na kuwa genge.


Wakatabzabu, WOWOWO…
Ni suala la muda tu maana kwa nyakati hizi kuua upinzani si rahisi
 
Uchafuzi huu wa serikali za Mitaa 2024, Kuua na kutekwa wapinzani+ wanaharakati bila kusahau Mkataba wa DP World ni MADOA makubwa sana kwako bibi Chura kiziwi..BADILIKA
Maneno makalo sana, tumia lugha nyepesi kwenye kukosoa. Hata Mungu mwenyewe kwenye kutuonya hakututukana, alitumia lugha nyepesi.
 
Hakuna faida ya upinzani Tanzania.
Watanzania walipohojiwa hawakuutaka upinzani ila Mwalimu aliona ni busara uwepo.
sio Nyerere, ni walimwengu. Mfumo wa dunia ulituburuta.

Hata hivyo: mawazo m'badala ni jambo zuri. kama mmoja alivyosema: kutofautiana ni ishara ya uhai na matumizi sahihi ya akili

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Hao wa-Tanzania walio hojiwa 1989 , kama alikuwa na miaka 20 basi leo ana miaka 55 na ndio wanaokula keki ya Taifa.
Waliozaliwa 1990 Wamehojiwa?
Hakuna faida ya upinzani Tanzania.
Watanzania walipohojiwa hawakuutaka upinzani ila Mwalimu aliona ni busara uwepo.
 
Uchafuzi huu wa serikali za Mitaa 2024, Kuua na kutekwa wapinzani+ wanaharakati bila kusahau Mkataba wa DP World ni MADOA makubwa sana kwako bibi Chura kiziwi..BADILIKA
Mithali 29 : 1, 'Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla, wala hapati dawa'. Dhalim alikuwa mbishi hivi hivi.
 
Naunga mkono hasa hoja namba 2.

Miaka ya nyuma 2000-2010 , hawa wanasiasa vijana ambao wako around early 40's walikuwa vyuo vikuu .

Vyuoni kulikuwa na mijadala fikirishi iliyokuwa iliruka mubashara kupitia vyombo mbalimbali hawa ndio walivutia hata vijana wengine kuingia kwenye majukwaa ya siasa.

Sote ni mashahidi jinsi wanachuo walivyokuwa wanaresist uonevu hasa manyanyaso ya bodi ya mikopo iliyopelekea migomo mingi chuo kikuu [mgomo sio kitu kibaya njia mojawapo ya kufikisha ujumbe kwa haraka] , ulikuwa ukiwasikiliza hawa vijana unaona kweli bongo ya mwanachuo inavyojenga hoja.

Serikali naona walikuja na mkakati wa kuzima fikra hizi kwa kuwafukuza viongozi wote waliokuwa wakichochea mageuzi ya haki kupitia migomo ya amani ,kubadili mfumo wa chaguzi vyuoni yaani naambiwa leo hii vyuoni bila kadi ya kijani hupenyi nafasi za juu na hata kama huna ukionekana "wa moto" hupewi uongozi.

Kwa ambaye hajui harakati za majukwaa ya kitaaluma yalivyo na nguvu wakasome jinsi Kenya ilirudi vipi katika mfumo wa vyama vingi na kuwekwa ukomo wa madaraka kwa rais na hadi baadae wakapata katibs mpya.

Ukifanikiwa kuviteka vyuo vikuu ambapo ndio kuna level ya juu ya wasomi umemaliza kila kitu, ndio maana leo hata Profesa mzima anasema aliokotwa jalalani , wanafunzi wako busy na kamari , ngono na singeli, uchawa na mambo mengine ya kipuuzi.
 
CCM wanatengeneza mazingira ya kuja kuliingiza taifa katika umwagaji mkubwa wa damu, wamefanikiwa kwa sasa kutumia mabavu ya dola kudhibiti upinzani na kuondoa maana halisi ya siasa za ushindani na thamani ya sanduku la kura. Kwa vile wamechagua kubaki madarakani kwa kutumia mitutu ya bunduki ni dhahiri wamefungua njia ya kuondolewa madarakani kwa njia hiyo hiyo.
Hii ni hatari sana. Mola tuepushe na haya mambo
 
Back
Top Bottom