Serikali ya CCM: Punguzeni gharama za Mafuta ya Kupikia, bei zinapanda kwa kasi!

Serikali ya CCM: Punguzeni gharama za Mafuta ya Kupikia, bei zinapanda kwa kasi!

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Hivi, serikali inayowajali watu inaowaongoza na kuwasimamia, kweli inakosa mbinu za kuhakikisha bidhaa muhimu kama mafuta ya kupikia inashuka bei ili kupunguza gharama za maisha? Sababu kuu ya kupanda kwa gharama za vyakula mitaani ni mafuta ya kupikia kuwa juu mno.

Kwa mfano, maeneo ya mama ntilie na baba ntilie kwenye mitaa yetu tunayoishi, bei za chakula zimefikia:

• Wali na samaki: 3,000
• Ugali na mboga: 3,000
• Pilau na mboga: 3,000
• Wali maharage (chakula pendwa): 2,500
• Chipsi kavu: 2,500
• Chapati: 500-700

Tatizo si gharama za viambato vingine vinavyotumika kuandaa vyakula hivi, bali ni mafuta ya kupikia ambayo yako juu mno. Serikali, tusaidieni wananchi wa kawaida kama kweli mnatujali. Kwa hali kama hii, itafika mahali tutabaki kuweka chumvi tu badala ya mafuta.

Soma: Asante Serikali ya CCM kwa kupunguza bei ya Vinywaji, punguzeni na bei ya mafuta
 
tunakoelekea na haya mafuta ya kupikia sijui
 
Wauza chips kwakwel kaz tunayo, nawabongo wanataka kujaziwa chips kwa buku jero
 
Hivi, serikali inayowajali watu inaowaongoza na kuwasimamia, kweli inakosa mbinu za kuhakikisha bidhaa muhimu kama mafuta ya kupikia inashuka bei ili kupunguza gharama za maisha? Sababu kuu ya kupanda kwa gharama za vyakula mitaani ni mafuta ya kupikia kuwa juu mno.

Kwa mfano, maeneo ya mama ntilie na baba ntilie kwenye mitaa yetu tunayoishi, bei za chakula zimefikia:

• Wali na samaki: 3,000
• Ugali na mboga: 3,000
• Pilau na mboga: 3,000
• Wali maharage (chakula pendwa): 2,500
• Chipsi kavu: 2,500
• Chapati: 500-700

Tatizo si gharama za viambato vingine vinavyotumika kuandaa vyakula hivi, bali ni mafuta ya kupikia ambayo yako juu mno. Serikali, tusaidieni wananchi wa kawaida kama kweli mnatujali. Kwa hali kama hii, itafika mahali tutabaki kuweka chumvi tu badala ya mafuta.

Soma: Asante Serikali ya CCM kwa kupunguza bei ya Vinywaji, punguzeni na bei ya mafuta
Sisi tutazame tu
 
Wauza chips kwakwel kaz tunayo, nawabongo wanataka kujaziwa chips kwa buku jero
bora umekuja wasije sema nimetunga
kuna mahali nilinunua kavu nikaambiwa ukitaka za kushiba 2500 hizo za buku jero ni za kuhesabu
 
Ukianza kuiambie Serikali ipunguze bei ya kitu fulani ni mawili; Kupanga Bei (Planning) ambayo sio nzuri kwa soko huria, pia unaweza kuwaambia labda kuongeza uzalishaji (kitu ambacho kwenye haya mambo madogo nadhani waachiwe watu binafsi) Ingawa wanachoweza kufanya ni kuhakikisha hawakunyonyi zaidi hivyo kukuachia disposable income (ukizingatia kwa sasa huduma wanazotoa ni almost non existant)


 
Ukianza kuiambie Serikali ipunguze bei ya kitu fulani ni mawili; Kupanga Bei (Planning) ambayo sio nzuri kwa soko huria, pia unaweza kuwaambia labda kuongeza uzalishaji (kitu ambacho kwenye haya mambo madogo nadhani waachiwe watu binafsi) Ingawa wanachoweza kufanya ni kuhakikisha hawakunyonyi zaidi hivyo kukuachia disposable income (ukizingatia kwa sasa huduma wanazotoa ni almost non existant)


hili ni hitaji muhimu sana kwa maisha ya watu wa hali ya chini.
pesa ni tatizo kubwa mno kwao kulipia hii huduma ya mafuta ya kupikia
 
hili ni hitaji muhimu sana kwa maisha ya watu wa hali ya chini.
pesa ni tatizo kubwa mno kwao kulipia hii huduma ya mafuta ya kupikia
Ndio maana ungenisoma ungeona kwamba nimekwambia iwapo wangeacha makamuzi makubwa (kodi) na hivyo kuhakikisha mtu anabaki na pesa ya ziada na hayo mafuta kushuka bila hizo kodi mtu angekuwa na pesa zaidi mfukoni, Pili kwa kuwa na Sera zinazolenga kumsaidia mwananchi na sio matumbo yao, mfano mdogo tu kwanini utumie mapesa na gharama kumwambia mtu atumie kitu cha gharama wakati cha bei nafuu kipo ? (Utakuwa ni mtetezi wa huyu mtu au myonyaji)

 
Dawa acheni kutumia,pike I chukuchuku ,wenye mafuta yao yawadodeee!
Tuache kuwa watumwa na kupelekeshwa

Ova
 
Mmh kweli jamani changamoto sana tutaanza kula michemsho sasa
 
Hivi, serikali inayowajali watu inaowaongoza na kuwasimamia, kweli inakosa mbinu za kuhakikisha bidhaa muhimu kama mafuta ya kupikia inashuka bei ili kupunguza gharama za maisha? Sababu kuu ya kupanda kwa gharama za vyakula mitaani ni mafuta ya kupikia kuwa juu mno.

Kwa mfano, maeneo ya mama ntilie na baba ntilie kwenye mitaa yetu tunayoishi, bei za chakula zimefikia:

• Wali na samaki: 3,000
• Ugali na mboga: 3,000
• Pilau na mboga: 3,000
• Wali maharage (chakula pendwa): 2,500
• Chipsi kavu: 2,500
• Chapati: 500-700

Tatizo si gharama za viambato vingine vinavyotumika kuandaa vyakula hivi, bali ni mafuta ya kupikia ambayo yako juu mno. Serikali, tusaidieni wananchi wa kawaida kama kweli mnatujali. Kwa hali kama hii, itafika mahali tutabaki kuweka chumvi tu badala ya mafuta.

Soma: Asante Serikali ya CCM kwa kupunguza bei ya Vinywaji, punguzeni na bei ya mafuta
Kwani "serekale" inauza mafuta ya kula?
 
Back
Top Bottom