Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Waziri rudi nyumbani. Toka huko china kwa mumeo uje ujenge taifa.mashetani yaliyo na roho mbaya hayo yanaendelea kukatisha tamaa utawala wakati yanaandaliwa maisha mazuri yenyewe yaani binadamu hawana wema ndiyo maana hata vikundi vywao vya saccoss vinabuma tu sasa hivi wamelambishwa asali acheni mama afanye kazi
Wasimamizi wa Kura wanasomeshwa namba na hawana la kufanya.KUTOKANA na Hali mbaya ya uchumi, pamoja na serikali kumiliki deni la Taifa la Trilion 91, Serikali imemshinda kuwalipa Posho za madaraka ya walimu wakuu,wakuu washule,vyuo,na maafisa elim kata pamoja na ruzuku za shule Kwa kipindi cha Mwezi Dec 2022.
Hali hii imekwenda mbali zaidi ambapo watumishi wa Umma wameshindwa kwenda likizo zao Za Mwisho wa mwaka kwa Serikali kushindwa kuwalipa fedha Za likizo ya Mwezi December 2022.
Hii inaonyesha tunakoelekea Serikali inaweza kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake jambo ambapo ni hatari kupita Kiasi.
Tunatoa wito kwa Serikali ya CCM kuondoa aibu hii mapema kwani kumsifia mama Ana upiga mwingi wakati serikali inashindwa kuwalipa watumishi wake ni Aibu ya mwaka.
Tume Jaribu kupigia simu Waziri wa Elimu Adolf Mkenda, kujaribu kujua tatizo ni nini , naye alijibu kuwa Tatizo liko TAMISEMI .
Prof Mkenda alishauri Tuwasiliane na Waziri wa TAMISEMI, Waziri Anjela Kairuki ambaye yuko likizo Nchini China, Kwa mume wake na simu yake haipatikani.
Kwani mwezi December umeisha?mbona unakihelehele cha kuandikaKUTOKANA na Hali mbaya ya uchumi, pamoja na serikali kumiliki deni la Taifa la Trilion 91, Serikali imemshinda kuwalipa Posho za madaraka ya walimu wakuu,wakuu washule,vyuo,na maafisa elim kata pamoja na ruzuku za shule Kwa kipindi cha Mwezi Dec 2022.
Hali hii imekwenda mbali zaidi ambapo watumishi wa Umma wameshindwa kwenda likizo zao Za Mwisho wa mwaka kwa Serikali kushindwa kuwalipa fedha Za likizo ya Mwezi December 2022.
Hii inaonyesha tunakoelekea Serikali inaweza kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake jambo ambapo ni hatari kupita Kiasi.
Tunatoa wito kwa Serikali ya CCM kuondoa aibu hii mapema kwani kumsifia mama Ana upiga mwingi wakati serikali inashindwa kuwalipa watumishi wake ni Aibu ya mwaka.
Tume Jaribu kupigia simu Waziri wa Elimu Adolf Mkenda, kujaribu kujua tatizo ni nini , naye alijibu kuwa Tatizo liko TAMISEMI .
Prof Mkenda alishauri Tuwasiliane na Waziri wa TAMISEMI, Waziri Anjela Kairuki ambaye yuko likizo Nchini China, Kwa mume wake na simu yake haipatikani.
Nyie ndo CHANZO CHA MATATIZO, yaani unasubiri mpaka watumishi wakose mishahara ndo utaongea? Hii ni indicator mbaya ya mwanzo kukosa kulipa posho za watumishi na hela ya likizo. Usisubirie watu wakose mishahara ndo uaminiAcha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.
Jenista ana Gundu nlisema hamkunielewa! anatembea na uchaw sana
Hivi hii serikali inaweza kitu gani ?KUTOKANA na Hali mbaya ya uchumi, pamoja na serikali kumiliki deni la Taifa la Trilion 91, Serikali imemshinda kuwalipa Posho za madaraka ya walimu wakuu,wakuu washule,vyuo,na maafisa elim kata pamoja na ruzuku za shule Kwa kipindi cha Mwezi Dec 2022.
Hali hii imekwenda mbali zaidi ambapo watumishi wa Umma wameshindwa kwenda likizo zao Za Mwisho wa mwaka kwa Serikali kushindwa kuwalipa fedha Za likizo ya Mwezi December 2022.
Hii inaonyesha tunakoelekea Serikali inaweza kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake jambo ambapo ni hatari kupita Kiasi.
Tunatoa wito kwa Serikali ya CCM kuondoa aibu hii mapema kwani kumsifia mama Ana upiga mwingi wakati serikali inashindwa kuwalipa watumishi wake ni Aibu ya mwaka.
Tume Jaribu kupigia simu Waziri wa Elimu Adolf Mkenda, kujaribu kujua tatizo ni nini , naye alijibu kuwa Tatizo liko TAMISEMI .
Prof Mkenda alishauri Tuwasiliane na Waziri wa TAMISEMI, Waziri Anjela Kairuki ambaye yuko likizo Nchini China, Kwa mume wake na simu yake haipatikani.
Aiseeee !!Jenista ana Gundu nlisema hamkunielewa! anatembea na uchaw sana
NduguAcha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.
Kuiba kuraHivi hii serikali inaweza kitu gani ?
Tena mchana kweupeee!Mama mwenyewe alishakiri kuwa serikali haina hela.
Mama anaupiga mwingi.Tena mchana kweupeee!
View attachment 2460902
Mwigulu walamba asaliAcha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.
Acha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.
Sio perception ni reality.Kama ni stahiki yao kisheria kwa nini wasipewe mkuu, hii "perception" ya kuwa kila shule ikifungwa walim wanakua likizo ni mbaya mnoo, kwa maana hiyo kwa mwaka walim wana siku za likizi zaidi ya siku 60, tofauti kabisa na watumishi katika kada nyingine?
TUAMBIE CHAMA MBADALA UNACHOKIONA KINA FAA ZAIDI YA CCM NA TOA MAONI YAKO NIKWANINI UNAONA CHAMA HICHI KINA FAA NDIYO TUTAKUELEWA ZAIDI YA HAPO TUNAKUONA NI MTENGENEZA MAJUNGU TUWasimamizi wa Kura wanasomeshwa namba na hawana la kufanya.
Wanasubiri msimu wa uchaguzi wapate posho ili wavuruge tena uchaguzi.
Anayewahurumia waalimu kwa segere wanalochezeshwa leo anapoteza muda wake.
Watanzania kwa asilimia kubwa wanateseka kutokana na kutotekelezwa ipasavyo ilani ya CCM wanayotamba kuwa wanaitekeleza.
Watanzania wengi wanateseka kutokana na CCM kupoteza uhalali wa kuongoza nchi. Kilichobaki wanaokoteza okoteza ili kufutana machozi.
Mama anaupiga mwingi in negative way kwa sababu anajua shida za wamanchi lakini anawabeza kuwa wanaolalamikia ubovu wa serikali
vipi yale mathreds yako marefu ya vichwa vinavyosema VIJANA WANAMKUBALI MAMA yameishia wapi kaa tena ujitafakari uandike hivyo vichwa vyako vya habari vya kutafta uteuz bila kusahau namba zako kule mwisho lakin kwa taarifa wewe na huyo mamako 2025 mtajua hamjui tutawanyoosha mpaka adabu iwajie dawa yenu pekee ni either mkimbie nchi au mgombee mpate aibu ya mwaka.Acha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.
Siyo posho ya DECEMBER ni ya NOVEMBER na DECEMBERKUTOKANA na Hali mbaya ya uchumi, pamoja na serikali kumiliki deni la Taifa la Trilion 91, Serikali imemshinda kuwalipa Posho za madaraka ya walimu wakuu,wakuu washule,vyuo,na maafisa elim kata pamoja na ruzuku za shule Kwa kipindi cha Mwezi Dec 2022.
Hali hii imekwenda mbali zaidi ambapo watumishi wa Umma wameshindwa kwenda likizo zao Za Mwisho wa mwaka kwa Serikali kushindwa kuwalipa fedha Za likizo ya Mwezi December 2022.
Hii inaonyesha tunakoelekea Serikali inaweza kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake jambo ambapo ni hatari kupita Kiasi.
Tunatoa wito kwa Serikali ya CCM kuondoa aibu hii mapema kwani kumsifia mama Ana upiga mwingi wakati serikali inashindwa kuwalipa watumishi wake ni Aibu ya mwaka.
Tume Jaribu kupigia simu Waziri wa Elimu Adolf Mkenda, kujaribu kujua tatizo ni nini , naye alijibu kuwa Tatizo liko TAMISEMI .
Prof Mkenda alishauri Tuwasiliane na Waziri wa TAMISEMI, Waziri Anjela Kairuki ambaye yuko likizo Nchini China, Kwa mume wake na simu yake haipatikani.
Posho hutoka sambamba na fedha ya luzuku...sawa posho siyo lazma je na pesa ya luzuku ipo wapi?...kuna shule hutumia pesa hizo kulipa wafanyajazi wake...pesa hiyo ndo hutumika kuandaa mipango kazi ya mwaka Mpya wa masomo....leo hii shule hazina hela maandalizi ya ufundishaji imesimama bado wik 2 shule kufunguliwaAcha blaa blaa zako hapa unafikiri kuendesha nchi Ni sawa na kuendesha familia yako? Kwani Ni mtumishi gani ambaye hajalipwa mshahara? Posho ya madaraka Ni watumishi wangapi wanaolipwa? Ungesema hawajalipwa mishahara hapo wenye akili wangekuelewa lakini kuzungumza habari za posho ya madaraka kuchelewa kulipwa unaonekana Kama kituko tu hapa jukwaani.
Wenye mioyo ya chuki na mnaosubiri serikali yetu ishindwe Basi Nawaambieni kuwa mtakuwa hamna tofauti na mafisi yanayosubili mkono wa Mwanadamu udondoke ili yaokote,Mtasubiri Sana na Wala Hilo halitatokea hata kidogo. Mtaombea Sana lakini hamtapata majibu ya maombi yenu na mwisho mtaishia kujikatieni Tamaa tu baada ya kuona hampati mnachokihitaji na kukitarajia.