Serikali ya Jean Baptiste Bhokasa ilipokosa pesa ya kujiendesha alipata msaada wenye masharti kutoka kwa Gaddafi

Serikali ya Jean Baptiste Bhokasa ilipokosa pesa ya kujiendesha alipata msaada wenye masharti kutoka kwa Gaddafi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Jean Bokhasa alikua mwanajeshi aliyepigana WWII Katika jeshi la Ufaransa. Katika maisha yake jeshini kiongozi aliyemhusudu na kupenda kufuata nyayo zake alikua Napoleon.

Bhokassa alikua mfujaji sana wa pesa, aliishi maisha ya anasa sana. Wapinzani wake waliuliwa kama kuku.. Alipoamua kujisimika cheo cha Ufalme wa Afrika ya kati alifanya sherehe ya kufuru. Baada ya sherehe serikali ili kosa hata pesa ya kujiendesha.

Mataifa ya Magharibi walimuona Bhokasa kama kituko, hawakuwa tayari kumpa msaada. Gaddafi alimpa msaada Bhokasa kwa masharti ya kubadili dini na kukubali kuueneza Uislam Afrika ya Kati. Rais Mfalme alikwenda Libya kufuata msaada na kubadili dini. Aliitwa Saladine Bhokasa. Inasemekana alirudi a dini yake ya Ukatoliki siku chache kabla ya mauti yake

1605091109956.jpeg

Jean Saladine Bhokasa akiwa anaiga mavazi ya Napoleon
 
Daah!!! Walishatangulia Wababe Wengi zimebaki tu hadhithi zao. Huyu alikuwa mtoto wa chief possibly Chief Mangungo wa msovero enzi hizo (The son of a village headman) huko Afrika ya kati kwa sasa. Huyu mbabe alijifanya kukuza uchumi kwa kutumia pesa zake mwenyewe,na kusisitiza utaifa (kwa sasa wanahita uzalendo/utaifa).

Bokassa alianzisha viwanda na sera za kutaifisha mashamba huku akijifanya mzalendo No1, lakini mahesabu yake yalikuwa ni kujilimbikizia na kuwafukalisha watu wake. kwa kifupi mahesabu ya Bokassa yalikuja kutimia pale ulipojikita kwenye utawala wa kiimula na kuanzisha sera zisizotabilika plus kutumbua wateule na akaendeleza unpredictable governement reshauffles na hiyo ndo ikawa tabia na style ya utawala wake.

Ilikuja kuanguikia pua, alipokamatwa na kuhukumiwa kunyongwa kwani inasemekana alikuwa anakula nyama za wanaliopinga (cannibalism behaviour). Baadae Mbabe huyu alikuja kuserve Kitanzi but alikufa kama bweha aliyekuwa anajificha jificha mapangoni ....Daah!
 
Hayo ndo masharti gani ndo maana walifyekelea mbali
 
Kuna mtu naona anafuata nyayo zake !!! Soon/later yatamtokea puani
 
Back
Top Bottom