Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.
Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.
Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.
Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??