Serikali ya Kenya imewasikiliza Wakenya. Sisi tunajadili Mwijaku na Masoud Kipanya

Serikali ya Kenya imewasikiliza Wakenya. Sisi tunajadili Mwijaku na Masoud Kipanya

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.

Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.

Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
 
IMG-20240618-WA0017.jpg

Ushuru wa mkate umeondolewa. Ushuru huu ungepandisha bei ya Mkate.
 
Seri
Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.

Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.

Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Serikali ya Tanzania chini ya mama inawajali Watanzania ndio maana hakuna mlolongo wa makodi na matozo kama ya huko Kenya ambayo yanakomoa Nchi Yao.

Mwisho wewe umeona Kuna shida gani kwenye Bajeti yetu badala ya kuandika ujinga tuu hapa
 
Ushuru wa mazingira (eco-levy) waondolewa na kubakia Kwa wale tu wanaoingiza toka nje ya Kenya bidhaa zitakazoathiri mazingira.
 
Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.

Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.

Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Hapa bongo kiongozi no. 1 anayetakiwa kusikiliza hoja za wananchi anajitokeza hadharani kusema ameziba masikio. Kwani tutamfanya nini? Kama ni kura tutapiga lakini haki ya kuchagua hatuna.
 
Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.

Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.

Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.

Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Daaa! Na kweli tumerogwa bana . Wakenya hongereni sisi tuna safari ndefu
 
Daaa! Na kweli tumerogwa bana . Wakenya hongereni sisi tuna safari ndefu
Safari yetu ni ndefu Sana na ngumu kupindukia.

Watawala wetu wanajua nini tunachokitaka.

Wewe lini umeona mvumbuzi yeyote wa jambo lolote amewahi kukaribishwa Bungeni!??

Lakini Piere Liquid aliwahi kukaribishwa Bungeni na kushangiliwa Sana na wabunge.
 
Back
Top Bottom