Pierre,mandonga,poshy qeenSafari yetu ni ndefu Sana na ngumu kupindukia.
Watawala wetu wanajua nini tunachokitaka.
Wewe lini umeona mvumbuzi yeyote wa jambo lolote amewahi kukaribishwa Bungeni!??
Lakini Piere Liquid aliwahi kukaribishwa Bungeni na kushangiliwa Sana na wabunge.
Kama siyo mtu mnafiki, basi utakubaliana na Mimi kwamba upeo wa kufikiri kwa Wakenya wengi zaidi upo juu zaidi ukilinganisha na Watanzania walio wengi zaidi.Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.
Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.
Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Halafu inakuwa "Story of the town"...😃😛Pierre,mandonga,poshy qeen
Misomisondo na wakata mauno wengine wote wamekaribushwa mjengoni
Ova
Ndio mambo wanayopenda kuwahadaa watanzania, UDAKU, POMBE, NGONO, UMALAYA, USHOGA, UYANGA, USIMBA, MZIKI,..ongezea kwenye list.Safari yetu ni ndefu Sana na ngumu kupindukia.
Watawala wetu wanajua nini tunachokitaka.
Wewe lini umeona mvumbuzi yeyote wa jambo lolote amewahi kukaribishwa Bungeni!??
Lakini Piere Liquid aliwahi kukaribishwa Bungeni na kushangiliwa Sana na wabunge.
Maujinga mengi mengi Sana... Na vyombo vyetu vya habari ni vioga balaa.Ndio mambo wanayopenda kuwahadaa watanzania, UDAKU, POMBE, NGONO, UMALAYA, USHOGA, UYANGA, USIMBA, MZIKI,..ongezea kwenye list.
Sababu au Kiini Cha kuwepo kwa tatizo hili hapa Tanzania ni:-Tanzania na Kenya zimekaribiana kijiografia, ila kuna tofauti kubwa sana ya uelewa na utayari wa raia wao.
Ni Sawa na darasa linaweza kuwa na wanafunzi A class na F class
Ndiyo maana wachekeshaji ndiyo watu maarufu na wanaosikilizwa Sana...Tanzakiza ni channel ya vichekesho EAC.
Kabisa, hata Zezeta.Yeyote yule anaweza kuwa mtawala wetu...
ACHA UJINGA WA BONGO NINI SASA ? TZ HAKUNA SHID NDIYO MAANA UNAONA HAKUNA MAANDAMANO YA HOVYO HUKO YAPO KWAKUWA KUNA SHIDA ACHA AKILI ZA KUSHIKIWARais wa Kenya bw Ruto iko na akili mingi, wa bongo mmmh
Unaposema "bongo" hakuna shida hiyo bongo unakusudia kusema Tanzania!!??ACHA UJINGA WA BONGO NINI SASA ? TZ HAKUNA SHID NDIYO MAANA UNAONA HAKUNA MAANDAMANO YA HOVYO HUKO YAPO KWAKUWA KUNA SHIDA ACHA AKILI ZA KUSHIKIWA
"TZ HAKUNA SHID..." Huu ni werevu, ujanja, ujinga au UPUMBAVU?ACHA UJINGA WA BONGO NINI SASA ? TZ HAKUNA SHID NDIYO MAANA UNAONA HAKUNA MAANDAMANO YA HOVYO HUKO YAPO KWAKUWA KUNA SHIDA ACHA AKILI ZA KUSHIKIWA
Watu wa hovyo na tunazimikia vitu vya hovyo na ndomana tunapelekwa hovyo.Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.
Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.
Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Kenyatta Jommo alitengeneza Watu 😂😂Muda huu William Ruto Rais wa Kenya amewaongoza wabunge wa Muungano wa Kenya Kwanza, kukubaliana na mambo mengi yaliyokuwa kwenye Bajeti ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yanapingwa na Wakenya kuondolewa.
Baada ya mbinyo toka Kwa Wakenya Kwa zaidi ya wiki Moja hatimaye serikali imekubali yaishe.
Sisi tuko bize na jamaa anayesema baada Mtumie Muhammad (SAW) na Yesu Kristo anayefuatia ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Mara mambo ya Mwijaku na Masoud Kipanya.Nani aliyetuloga!!??
Kabisa... Yaani maelezo ya mpina yamenyooka lakini ndiyo hivyo tena anapelekwa kwenye Kamati ili kukuza sarakasi zao za kisiasa.Yawezekana hili sakata la Mpina limepandikizwa na serikali ili kuwahadaa wananchi wajadili sakata wasijadili bajeti.