Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Kwa Mara ya kwanza Leo Kenya imeadhimisha siku ya watu wa jinsi mbili (yaani mtu Mwenye uume na uke kwa wakati mmoja), jambo ambalo Ni la kwanza kwa Afrika mashariki.
Nchi hiyo Pia imekuwa ikisitasita kutangaza rasmi kuutambua ushoga Kama haki baada ya harakati nyingi kushika Kasi Hadi ngazi ya Mahakama Kuuu.
Ninaamini kuwa haitiki 2025 bila Kenya kupitisha ushoga Kama haki.
Nchi hiyo Pia imekuwa ikisitasita kutangaza rasmi kuutambua ushoga Kama haki baada ya harakati nyingi kushika Kasi Hadi ngazi ya Mahakama Kuuu.
Ninaamini kuwa haitiki 2025 bila Kenya kupitisha ushoga Kama haki.