joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kumbuka hata hayo unayosema ni takataka yanatengeneza hasa, mwanzo yalikua yanatengeneza faida kama ambavyo KPA inavyotengeneza faida sasa hivi, ila uendeshaji mbaya, rushwa, nepotism vilisababisha hayo mashirika kuanza kutengeneza hasara.Mimi naona ni makosa kubinafsisha port, pipeline na state bank pekee. Hizo zingine ni takataka na hazifanyi kazi. Zinatengeneza loss tu. Hapo kwenye list wamefanya upuzi wa hali ya juu kujumuisha kampuni muhimu kwa afya ya uchumi kwa mfano Kenya Port Authority, National Bank of Kenya na Kenya pipeline. Hizo zingine zilozosalia wanaeza uza kwa sababu yanatengeneza loss na pia sio muhimu kama zile ambazo nimezitaja hapo juu. Wangeita public participation sisi raia pia tutoe maoni, tusije tukalia hapo mbeleni
Msiposhughulika na hayo matatizo, Kenya haitobaki salama, matatizo hayo hayo yataitafuna CBK, KPA na pipeline. Tanzania tulitumia muda mrefu sana kujenga msingi imara wa uchumi endelevu kwa kupambana na ukabila, ubinafsi, nepotism, na uchu wa kujilimbikizia Mali miongoni mwa wanasiasa na viongozi wa nchi. Baada ya kujiridhisha kwamba angalau jamii imeanza kuelewa na kuwa wazalendo, ndio tukafungua milango ya uchumi huria.