Serikali ya Kenya yaamuru Wachina wanne waliomchapa Mkenya warudishwe kwao

Wachina wajinga sana! Yaani unaenda kwenye nchi ambayo ina sovereignty unaenda kuwachapa watu viboko?![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Walishashitakiwa na kuamriwa wafukuzwe nchini Kenya, isitoshe bila shaka wamefwata Sheria Kenya inavyosema kuhusu mgeni vinginevyo hao wageni wangepinga Mahakamani kufukuzwa, hata hivyo mimi siyo Mwanasheria.
Tujadili hoja iliyoletwa,wapi pameandikwa kuwa walishashitakiwa mahakamani?amri ya kuwaondoa imetolea na Home Affairs minister sio mahakama,na ukisoma vema mtoa hoja vile vile amesema kuwa vibali vyao vilikuwa batili(ndio maana nakuambia huku kwetu Lingusenguse ukinyakwa na vibali batili ndio utaijua sharia ya nchi hii,bora ukamatwe na kibali halali ila kimeisha muda sio feki)na ninaamini Kenya nao wana sharia kuhusu kwa mtuhumiwa kukumatwa na vibali feki
 


Mimi siyo Mwanasheria na sijui Sheria za Kenya zikoje hivyo siwezi kujadili sana kuhusu hilo hata mazingira yenyewe ya ishu ya Mchina kuchapa viboko Wakenya siyajui, lkn ninachojua ni kawaida nchi nyingi kuna baadhi ya makosa ukifanya kama wewe ni mgeni uhalali wako wa kuishi hiyo nchi unakoma moja kwa moja.
 
yes mkuu ila ni lazima mashitaka haya mahakama iamue.
 
Hii haitoshi na huo mgahawa ufungwe
Jr[emoji769]
 
Wakenya sijui wamejiamini nini wakati wanadaiwa namna ile.

Ngoja wakasirike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…