Serikali ya Kenya yafilisika, yachapisha pesa toka CBK

Hivi ni kwanini wakunya wakiona mwenzao anapotosha na kudanganya humu jamiiforums huwa hawamrekebishi wala kumsahihisha zaidi ya kujitokeza kumtetea?
 
Hivi ni kwanini wakunya wakiona mwenzao anapotosha na kudanganya humu jamiiforums huwa hawamrekebishi wala kumsahihisha zaidi ya kujitokeza kumtetea?
Kawaida wakenya wamekuzwa katika maisha ya kujisifia na kudanganya, hii ni kuanzia rais wa nchi hadi kiongozi wa kijiji. Muhimu kwao ni lazima usifie Kenya na kuwaonyesha kwamba wao ndio wapo mbele kuliko nchi yoyote ile, kwa mfano:

1)Waziri wa fedha wa Kenya wiki iliyopita alisema, uchumi wa Kenya unakua by 2.6%, the highest rate in Africa, wakati anajua kwamba, Rwanda ni 4.1% na Tanzania ni 5.2%, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaahaahahaha Kwa mujibu wa sentensi yako Kenya ina UCHUMI mkubwa duniani kuliko nchi zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…