Serikali ya Kenya yaihujumu Tanzania kwa kumteka MO

Kupigwa risasi kwa Mh. Lissu habari za "kiuchunguzi" zilitoka kwa blogger jirani hapo. Hii kutekwa Mo pia blogger mwanadada jirani hapo ana habari za "kiuchunguzi"

Huyo mwanadada ana picha za Mo kuanzia Dar, Msa hadi SA. Sasa Sijui connection yake iko vipi na yeye kajiposition wapi kuweza kufanya hiyo coverage namna hiyo.

All in all Mungu ni mwema.
 
1.ushawahi sikia tumeshindwa kulipa deni?
2. Ushawahi sikia Tz imeshindwa kulipa deni hadi kusamehewa tena mara mbili?
Tz haijawahi shindwa kulipa deni ila ni diplomasia yetu ndo ilofanya tusamehewe.
 
Deni la trillion 112 litalipwa vipi wasipoteka mabilionea?

Hehehehe.... Vipi mtupatie vitalu kadhaa tulipie deni, ila kwa mlivyo maskini ndio mtaisha kabisa, jameni hao wazungu wamewatafuna sana kwa kweli.
 
Labda wanahasira lile lao la ikulu yao lilivyokamatwa kule moshi
 
Sasa kwasababu Mo amepatikana usiku wa manane huko huko Tz nangoja kuona propaganda zitakofata. Hawa jirani zetu wana maneno si haba.
 
Hata Tundu Lissu pia alipigwa risasi na wakenya, ndio maana baada ya GoT kukataa kata kata kulipa bill yake hospitalini, tuliamua tu kumtibu bure bila malipo. 😎
Haha Mnatibu vidonda vyenu wenyewe.
 
Kama Wakenya wamemteka basi ni wapinzani wa biashara the likes of BIDCO n Brookside ama sugar barons!
Duh! Upinzani kitu gani ikiwa Tanzania yenyewe ni kama extension ya Kenya tu? Hauna habari? Tz inamilikiwa na Kenya kwa kiwango kikubwa.

Btw, ati ni billionea, kwa pesa za Kenya ama za Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…