Serikali ya Kenya yaihujumu Tanzania kwa kumteka MO

Kweli wahenga walisema kikulacho kipo nguoni mwako, MO katekwa na hao hao unaowatetea
 
[emoji15][emoji15][emoji15]wapi tena huku
 
Si mngeleta hao makomando wenyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani mnashindwa kutafuta mtu mmoja hahaa
 
Yes, si umeona nyumba kumi ilivyosaidia? Taarifa zilisambaa mapema na kila mtu alikuwa macho.
Nyumba kumi huwezi mpa mke wako mapenzi bila jirani kuchungulia, pindi tu anaposikia sauti chumbani. Eti kwa sababu anachunguza kama kila kitu kiko sawa. Kila mtu anakua mchunguzi. Inaudhi
 
Nyumba kumi huwezi mpa mke wako mapenzi bila jirani kuchungulia, pindi tu anaposikia sauti chumbani. Eti kwa sababu anachunguza kama kila kitu kiko sawa. Kila mtu anakua mchunguzi. Inaudhi
Hujuwi thamani ya nyumba kumi, wewe mawazo yako yako kwenye ngono tu. Nenda UK au US ukaulize neighbourhood watch wakufahamishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…