Jamani Hembu kumbukeni Tanga ya zamani,wakati ambao hata Kenya walikuwa hawajafikia.
wakaja wajanja wamehujum viwanda na kuacha magofu then wakenya waka take Advantage hiyo.
Mie mqwnyewe Jana nimeenda Dukani kununua Dawa ,muuzaji ananiuliza unataka Panadol ya Kenya au Tanzania,nikamjibu kwa hasira,wee ya tanzania?hembu nipe ya Kenya,we dawa gani imekaa kama unga wa sembe hata kabla ya kuinywa.
Sioni sababu ya kuwalaumu wa kenya,Halafu labda tutambue suala moja.
bakhresa sio kwamba lengo ni kumhujumu ila lengo ni kuongeza ushindani kimataifa.Bado bakhresa ananafasi kubwa sana kwenye soko la kusini mwa jangwa la sahara.Na anatumia malighafi na nafasi ya Tanzania katika kuwa na malighafi nyingi na Ardhi ya kutosha na hata soko la kutosha kwa bidhaa zake.Yeye aongeze nguvu tu kweney uzalishaji.
Na pia Kenya hanabiashara kubwa kama aliyonayo katia chin za kusini mwa Tanzania ambapo hana mshindani,kwa wale mliopata bahati ya kwenda Zambia au kongo mtakubaliana namie yale magari yake yanayopanga foleni mpaka huukoo yakipeleka mzigo nchi jirani mtakubaliana namie kwamba anasoko kubwa sana huko.Na katika nchi zote ambazo anafanya biashara basi kenya ndio sehem amabayo hana biashara nzuri kwakuwa kuna ushindani mkuwba,sasa haitomuathiri sana.Na wakimecheze tu ataporomosha bei wao wenyewe watainua mikono.
Jama mkali sana kwenye quality na an experts wazuri sana,we angali wkeny Speed boat kwa zanzibar,boat zote zimeinua mikono amchukua soko yeye.na alichofanya ni kuangalia udhaifu wa washindani wake ,na akagundua kwamba Boat zao mbovu na za mitumba.Yeye akaamua kuleta Boat za kisasa kabisa na wala hakupandisha bei.
Kumbukeni kwamba Bakhres aliwahi kuluumbana na kampuni za kuuza Maji ya chupa hapahapa nchini,wakidai kuwa anataka kuuwa soko lao,yeye akawajibu kuwa hauzi maji ila anauza chupa.Wakakaa kimya maana ni lugha ya kiiashara hiyo.
Cha msingi tujipapange wakenya wapo vizuri sana.
MUNGU MBARIKI BAKHRESA NA UMPE WEPESI KATIKA USHINDANI WA BIASHARA ZAKE NA UMLINDE NA FITNA ZA WAFANYABIASHA AU VIONGOZI WAKUU WA SERIKALI YOYOTE WENYE NIA MBAYA YA KUMUANGUSHA KIBIASHARA,MAANA AJIRA ZA WATU MAMILIONI ZITAPOTEA KAMA AKIANGUKA KIBIASHARA.MUNGU WEWE NDIO UJUAE ZAID YETU NA KUOMBA KWAKO NI UTAMBUZI WA KWAMBA HAKUNA ULISHINDWALO NA ULINZI,USALAMA,AMANI,NEEMA NA BARKA ZOTE ZIKO CHINI YA MILKI YAKO
AMEEEEEEN