KANDUDI RAYMOND
Member
- Aug 29, 2014
- 91
- 3
Nimetuma fomu ya mikopo bodi (heslb),na viambatanishi vyote, lakini nimekuja gundua kwamba nilisahau kukata pale sehemu isiyo husika ambayo pia ilitakiwa ikatwe na serikali ya kijiji ...na majina ya waliokosea ,jina langu ckuliona..mkopo nitapata??