Elections 2010 Serikali ya Kikwete imeleta maendeleo kwa watanzania

Elections 2010 Serikali ya Kikwete imeleta maendeleo kwa watanzania

Wanafunzi sasa wanasoma kwa nafasi...
Darasa.JPG
 
Kwa nafasi na wana computer kila mmoja asante mzee wa Kifafa!
 
Kama vile haitoshi, wageni mbalimbali hupenda kutembelea shule mbalimbali na kuona jinsi wanafunzi wa Kitanzania wanavyoshiriki katika kuweka mazingira safi ya shule zao.
Venlan%20kuvat%20254.JPG
 
Kama vile haitoshi, wageni mbalimbali hupenda kutembelea shule mbalimbali na kuona jinsi wanafunzi wa Kitanzania wanavyoshiriki katika kuweka mazingira safi ya shule zao.
Venlan%20kuvat%20254.JPG

naona imebidi wazungu waje kusaidia kusafisha maana kazi imeshindikana kufanywa na serikali za ccm

nasubiria kuona waarabu nao wakija kusafisha
 
wakati huo huo, wanafunzi wanasaidia kuendeleza nchi:

malibwi_water_children_op_.jpg
 
Na wakina mama waliojifungua wakipumzika kwenye zulia baada ya kumaliza kazi ngumu ya kuendeleza nchi (kuzaa watoto):

RUGIMBANA-4.jpg
 
Shule nyingi sasa za msingi zina mazingira mazuri ambayo kisaikolojia uwezesha wanafunzi wake kusoma kwa utulivu na kuweza kupasi vizuri mitihani yao.

Vilhelmiinan%20kuvat%20157.JPG


Vilhelmiinan%20kuvat%20156.JPG
 
Barabara ya kwenda nyumbani imejengwa:

472127027_716e1cc066.jpg

Bajaji zitapita kweli?, maana JK anataka kuzileta kwa ajili ya akina mama wajawazito. Mawaziri, wabunge na makatibu wakuu wanapata VX.
 
Na wakina mama waliojifungua wakipumzika kwenye zulia baada ya kumaliza kazi ngumu ya kuendeleza nchi (kuzaa watoto):

RUGIMBANA-4.jpg

Fikiria wajawazito kuletwa hospitali na bajaji then wanalazwa chini. Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!
 
Shule nyingi sasa za msingi zina mazingira mazuri ambayo kisaikolojia uwezesha wanafunzi wake kusoma kwa utulivu na kuweza kupasi vizuri mitihani yao.

Vilhelmiinan%20kuvat%20157.JPG


Vilhelmiinan%20kuvat%20156.JPG

Nyumba ya walimu wa msingi somewhere in dodoma (kwa mujibu wa hakingowi):

nyumba3.jpg
 
Kibunango,
Mkuu acha kutujmia picha za misaada ya NGO (Plan International) kama ndio maendeleo ya serikali ya JK, unatia aibu zaidi kuonyesha jinsi tulivyokuwa Taifa tegemezi. yaani NGO moja inafanya makubwa kuliko utawala mzima?
 
Shule nyingi sasa za msingi zina mazingira mazuri ambayo kisaikolojia uwezesha wanafunzi wake kusoma kwa utulivu na kuweza kupasi vizuri mitihani yao.

Vilhelmiinan%20kuvat%20157.JPG


Vilhelmiinan%20kuvat%20156.JPG

Hii ni shule ya Misheni ndugu yangu siyo ya Kata.
 
Back
Top Bottom