Nzoka yihenge
Member
- Jan 14, 2011
- 47
- 31
Nimesikia kupitia tbc habari kuwa malawi itashusha thamani ya pesa yake kwa 50% ili kuokoa uchumi wake. Wadau wa masuala ya pesa naomba nifungueni nipate kuelewa ni kwa namna gani hii inaweza kuokoa uchumi wa nchi.