Serikali ya mapinduzi Zanzibar ina dini?

Serikali ya mapinduzi Zanzibar ina dini?

Bara ni wapagani
Mpagani ni yeyote anayemkataa Mungu,

Mpagani ni yule asiyeamini kuwa Mungu alikuja katika mwili wa mwanadamu, akazaliwa, akafa, akazikwa na kufufuka siku ya tatu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Hawa jamaa wajinga sana na huo mdini wao wa ajabu.
Wewe ni mweusi tii, unaanza je kukomalia mila za wenye ngozi ya kitimoto?
Wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Taja vifungu hivyo vya Sheria.
 
Mapumziko yapo kisheria za kimataifa kabisa,

May mosi Kwa Mfano, ni worldwide. Na sikukuu zote kubwa za wakristo na waislamu zipo kisheria zinatambulika.

Lakini haipo SHERIA katika Katiba ya 1984 ya Zanzibar inayozuia watu wasio waislamu kula hadharani.
Nenda India kachinje ngombe hazarani uone utafanywa nn

Tujfunze kuheshim imani za watu ili na ww uhishimiwe (uvumiliwe) imani yk na ndio maana mnashindwa kuvumiliana kwenya itikadi zenu za siasa kwa kutokutumia akili tu kwa namna mazingira yalokuwepo matusi zarau vijembe kila wkt kwa znz havi saidii kitu

Kwann papa kasema bara la afrika ni sehem maalum kuhusu swala la ushoga ana maanisha kwa mazingira ya tamaduni za afrika ni ngum kubarik mashoga ila sehem nyengn za dunia wanaweza kuendlea kubarik

zanzibar wp wachache wny imani isiyo kuwa ya kiisilam lkn wnapo heshim imani ya wengi na wao wanaheshimiwa
 
Nenda India kachinje ngombe hazarani uone utafanywa nn

Tujfunze kuheshim imani za watu ili na ww uhishimiwe (uvumiliwe) imani yk na ndio maana mnashindwa kuvumiliana kwenya itikadi zenu za siasa kwa kutokutumia akili tu kwa namna mazingira yalokuwepo matusi zarau vijembe kila wkt kwa znz havi saidii kitu

Kwann papa kasema bara la afrika ni sehem maalum kuhusu swala la ushoga ana maanisha kwa mazingira ya tamaduni za afrika ni ngum kubarik mashoga ila sehem nyengn za dunia wanaweza kuendlea kubarik

zanzibar wp wachache wny imani isiyo kuwa ya kiisilam lkn wnapo heshim imani ya wengi na wao wanaheshimiwa
Hao wanaokula hadharani, ingekuwa wameenda kuiba vyakula vya waliofunga vilivyotunzwa Kwa ajili ya kufuturia jioni, wangekuwa na makosa.

Lakini mtu anakula zake kwake mchana, Yeye hajafunga, Jirani uliyefunga uende kumpiga ni UKOROFI huo.
 
Back
Top Bottom