Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
CC
USAID TANZANIA
USA EMBASSY TANZANIA
USAID TANZANIA
USA EMBASSY TANZANIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe boya sana ujui huyo mama ni limbukeni wa wazungu na kizungu mwenzako anatafuta kusifiwa na wazunguSidhani kama atakubali kuhojiwa na hivi vyombo vya habari na akikubali basi itakuwa ni AIBU kubwa kwa nchi.
Ndiyo kitachotokeaAsipokubali basi kwa jinsi ninavyowajua wazungu wataanzia hapo hapo na mpango mzima wa "tour ya kimalkia " itakuwa imechafuka na hivyo kuwa meaningless.
Kwani kumuua raisi wa JMT siyo uhainiJe wajuwa maana ya uhaini?
🤣🤣🤣 Salute Mingi sana...Hawa washenzi wasiruhusiwe kupeleka unajisi huko kwenye demokrasia. Wakazindue North Korea huko kwenye washenzi wenzao.
Umekosa kazi ya kuafanya?Nipo katika hatua za mwisho za kuweka zuio la kisheria la kuitaka serikali ya Marekani kuzuia Uzinduzi wa kipindi cha ROYAL TOUR ambapo uzinduzi huo utafanywa na Rais Samia mwenyewe huko Marekani.
Katika malalamiko yangu yatakuwa kuikumbusha serikali ya Washington DC kuwa uvunjaji wa Demokrasia nchini umefikia hatua mbaya zaidi katika utawala huu.
Mazingira ya siasa kwa vyama vya upinzani yamekuwa ya kukatisha tamaa na kuogopesha zaidi chini ya utawala wa Samia. Kama mtanzania nina wajibu wa kukemea mabaya ambayo nayaona yanaweza kuvuruga amani ya taifa letu. Mambo makuu ambayo jumuiya ya kimataifa inapaswa kujua kuwa yanatendeka Tanzania ni pamoja na:
(1) Uzuiwaji wa mikutano na mikusanyiko ya ndani ya vyama vya upinzani kinyume na taratibu na sheria za nchi.
(2) Serikali na bunge la JMT kutoheshimu katiba ya vyama vya upinzani na sheria ya uwakilishi bungeni ambapo serikali imekataa kuwaondoa wabunge wasio na chama bungeni.
(3) Serikali kukamata na kuwabambikia makosa yasiyo na dhamana viongozi wa upinzani.
Sasa tunaenda kuwaita wabia kwenye maendeleo siyo mabeberu tenaMinyanyeni, uaeni, ilimradi nchi mmefungua, beberu hana shida! Huwa wanaanza choko choko pale tu mnaposhikana mikono kwenye sahani moja.
Ilimradi nchi iko wazi, beberu hana shida na haswa zinapochotwa huku kupelekwa kwake kwa ziara hiyo, bado milango imefunguliwa kwa wazee wa kuhifadhi minoti huko pia, beberu haimhusu mikutano wala mikusanyiko, utawala bora ili iwe nini?
Hili ni mimi sasa, hawa wapinzani sio wanasiasa?
Good. You are opting for a right strategy. Carry on please. It is part of the effective war instrument. Your contribution will be rewarded in some day to come or at the end of the day (struggle).Nipo katika hatua za mwisho za kuweka zuio la kisheria la kuitaka serikali ya Marekani kuzuia Uzinduzi wa kipindi cha ROYAL TOUR ambapo uzinduzi huo utafanywa na Rais Samia mwenyewe huko Marekani.
Katika malalamiko yangu yatakuwa kuikumbusha serikali ya Washington DC kuwa uvunjaji wa Demokrasia nchini umefikia hatua mbaya zaidi katika utawala huu.
Mazingira ya siasa kwa vyama vya upinzani yamekuwa ya kukatisha tamaa na kuogopesha zaidi chini ya utawala wa Samia. Kama mtanzania nina wajibu wa kukemea mabaya ambayo nayaona yanaweza kuvuruga amani ya taifa letu. Mambo makuu ambayo jumuiya ya kimataifa inapaswa kujua kuwa yanatendeka Tanzania ni pamoja na:
(1) Uzuiwaji wa mikutano na mikusanyiko ya ndani ya vyama vya upinzani kinyume na taratibu na sheria za nchi.
(2) Serikali na bunge la JMT kutoheshimu katiba ya vyama vya upinzani na sheria ya uwakilishi bungeni ambapo serikali imekataa kuwaondoa wabunge wasio na chama bungeni.
(3) Serikali kukamata na kuwabambikia makosa yasiyo na dhamana viongozi wa upinzani.
currently white man has supported us in every means. but does it mean we should continue to rely on them?We are so far dependents on Whiteman in many aspects, take just a recent instance of Covid vaccine--- have you ever, as an independent man, invent any vaccine???, do not blindfold yourself pretending to be independent while you are not. You cant even make a needle.
Americans are the world "champion" of democracy ----- in this case we expect them not to be mum, Atleast they have to take their influential opportunity while she is in there to tell her the truth obout deteriorating democracy in Tz by her Government.
Kama akiwa anawaharibia madili yao ndio huwa wana pay attention. Ila kama hakuna lolote ambalo linatokea kwenye mitikasi zao wanazofanya hapa bongo then ni kama tu kumpigia mbuzi gitaa
Are u sure? Omba lisitokee.... Hasa utawala wa sasa wa Marekani ni watumishi wa democracy
Nakuunga mkono 100%Nipo katika hatua za mwisho za kuweka zuio la kisheria la kuitaka serikali ya Marekani kuzuia Uzinduzi wa kipindi cha ROYAL TOUR ambapo uzinduzi huo utafanywa na Rais Samia mwenyewe huko Marekani.
Katika malalamiko yangu yatakuwa kuikumbusha serikali ya Washington DC kuwa uvunjaji wa Demokrasia nchini umefikia hatua mbaya zaidi katika utawala huu.
Mazingira ya siasa kwa vyama vya upinzani yamekuwa ya kukatisha tamaa na kuogopesha zaidi chini ya utawala wa Samia. Kama mtanzania nina wajibu wa kukemea mabaya ambayo nayaona yanaweza kuvuruga amani ya taifa letu. Mambo makuu ambayo jumuiya ya kimataifa inapaswa kujua kuwa yanatendeka Tanzania ni pamoja na:
(1) Uzuiwaji wa mikutano na mikusanyiko ya ndani ya vyama vya upinzani kinyume na taratibu na sheria za nchi.
(2) Serikali na bunge la JMT kutoheshimu katiba ya vyama vya upinzani na sheria ya uwakilishi bungeni ambapo serikali imekataa kuwaondoa wabunge wasio na chama bungeni.
(3) Serikali kukamata na kuwabambikia makosa yasiyo na dhamana viongozi wa upinzani.
Sijui tuna mkosi gani kwenye ngazi ya urais,yaani she is not smart at all,even my kid can outsmart herSidhani kama atakubali kuhojiwa na hivi vyombo vya habari na akikubali basi itakuwa ni AIBU kubwa kwa nchi.
Bado mna siasa za kitoto sana aisee...
Kuna mtu ukimsoma hapo juu anaelezea ya Taleban na USA...Kama hamjui hizi siasa za kihuni za USA nendeni mkasome hiyo story ya Taleban na kupewa nchi ya Afghanistan na USA..
MBS na serikali yake ya Saudia wamemchomoa Kashogi pale uturuki na ushahidi wa wazi kabisa,USA kafanya nini...
Interest za USA Tanzania hazina shida yeyote na kwasasa Taifa linaagiza chanjo ya JJ unafikiri USA atawasikiliza.? Pambaneni kivyenu acheni kuwahusisha wazungu kwenye hizi siasa za kuitafuta Ikulu...
wapinzani Tanzania tafuteni namna sahihi ya kupambana na CCM, hizi siasa za kuwategemea wazungu ndio CCM itoke hazina faida....hao the so called wapo kwa maslahi yao na hata siku ukiona wanausaidia upinzani kuitoa CCM ujue kuna maslahi yao huko..
Watanzania wako tayari kwa mabadiriko miaka mingi sana tatizo ni aina ya wanasiasa na vyama vinavyojinasibu kushika dola na kuitoa CCM..