joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wimbi la wamarekani weusi kuhamia Tanzania ndio sababu ya yote hii,ila wenyewe uwaambii kitu kuhusu Tanzania na washajua serikali yao inadanganyaMY TAKE: Corona imetikisa dunia, nchi dhahifu zitatikisika, ila ukweli unazidi kudhihirika. Hatitukisiki wala kubabaika, hatijawahi kushindwa vita yoyote.
bongo raha saaaanaaa.Hawa hapa wanazidi kumiminika
Hayo ndio matokeo ya simu ya kamwana na anko joeπ
MY TAKE: Corona imetikisa dunia, nchi dhahifu zitatikisika, ila ukweli unazidi kudhihirika. Hatitukisiki wala kubabaika, hatijawahi kushindwa vita yoyote.
So hundreds ndio unaisema as if Ni in millions/thousandsWimbi la wamarekani weusi kuhamia Tanzania ndio sababu ya yote hii,ila wenyewe uwaambii kitu kuhusu Tanzania na washajua serikali yao inadanganya
Mbuyu ulianza kama mchicha we mama,unateseka hapo ukiwa machafuni kiberaSo hundreds ndio unaisema as if Ni in millions/thousands
Mlikataa kula mlungula wa mabeberu wa corona, mtaisoma Namba πππ
Magu aongezewe mitano mwingine.