Serikali ya Qatar yaiagiza kikundi cha kigaidi cha Hamas kufunga ofisi zake zilizoko Doha na kuondoka mara moja

Upo sahihi kabisa kwa upande mmoja ila hata sera kali za mrengo wa kulia za serikali za Israel toka miaka ya mwanzoni mwa 2000 mpaka sasa zimekwamisha kupatikana muafaka wa huu mzozo.

zitto junior
 
Kafiri atabaki kafiri tu
 
Unaweza ukatupa hapa mipango ya aman iliyokawekwa mpaka Hamas wakaigomea ili tujue nani tatizo?
 
Hayo makundi ya kigaidi yangeenda kuweka kambi zao huko Iran maana waarabu kamili kina saudia, Jordan, qatar wameshtuka hawataki fujo
Hamas ni chama cha siasa chenye makazi yake Gaza kikiwa na lengo la kiokomboa Palestina dhidi Mkoloni Israel.

Hamas haina tofauti na Tanu, ANC, Frelimo na vyama vingine vya ukombozi ambavyo vilipugania Uhuru katika mataifa yao.
 
Qatar has withdrawn as a mediator in ceasefire and hostage release talks between Israel and Hamas, a diplomatic source has told CBS, the BBC's US partner.

It comes after senior US officials reportedly said Washington would no longer accept the presence of Hamas representatives in Qatar, accusing the Palestinian group of rejecting fresh proposals for an end to the war in Gaza.

Source:BBC
 
Upo sahihi kabisa kwa upande mmoja ila hata sera kali za mrengo wa kulia za serikali za Israel toka miaka ya mwanzoni mwa 2000 mpaka sasa zimekwamisha kupatikana muafaka wa huu mzozo.

zitto junior
kuna waarabu wanaish ndan ya Israel ila hakuna wayaud Gaza wala west bank
 
Israel anaipiga Palestina hata kabla Hayajafanyika Mapinduzi ya Iran ya kiisilamu, bila kusahau hicho kikundi cha Hamas muanzilishi wake ni Huyo Huyo Israel. Hizi propaganda zenu mnadanganya wajinga ila wenye ufahamu wanawaona kama wapuuzi tu.
 
Ushauri au shinikizo ?....hawa watawala wa nchi za Ghuba ni vibaraka wa Marekani
Ni Maamuzi sahihi ya nchi yanapaswa yaheshimiwe. Mbona Viongozi wa HAMAS, Hezbollah, Houthis n.k. ni vibaraka wa Iran?
 
Israel anaipiga Palestina hata kabla Hayajafanyika Mapinduzi ya Iran ya kiisilamu, bila kusahau hicho kikundi cha Hamas muanzilishi wake ni Huyo Huyo Israel. Hizi propaganda zenu mnadanganya wajinga ila wenye ufahamu wanawaona kama wapuuzi tu.
Ni kheri kutokuwa king'ang'anizi - Tugange yaliyopo na yajayo. Mnashikilia historia na kuweka visasi vya miaka iliyopita moyoni lakini bado mnaendelea kuuawa kwa wingi kila siku na nchi inageuzwa kifusi.. Ifike mahali tusahau au tusamehe au tuachilie mbali yaliyopita tuchuchumalie jinsi ya kuipata amani. Wanaoumia/kuumizwa ni raia wa kawaida wasio na hatia ilhali wakubwa wa nchi na vikundi vinavyoendesha hiyo mnayoiita ni Jihad wamejibanza mafichoni wapo salama. Kuweni na huruma.
 
kuna waarabu wanaish ndan ya Israel ila hakuna wayaud Gaza wala west bank
Hao waarabu wanaishi sababu wamezungukwa pande zote na Israel na nyumba zao zipo ndani ya Israel hawana PA kwenda ila nao wanateswa vile vile. Tafuta Report yoyote ile iwe Amnesty, human resource watch ama kundi lolote linafuatia haki za Binadamu watakuambia same thing waarabu ni second citizen Israel. Kuna shule hata


Kuanzia shule, hadi Hospitali wanatengwa.
 
Hamna lolote maneno tu, US hawezi kukubali Hamas waondoke Qatar. Sababu Hamas wakienda Algeria au Yemen itakuwa hamna njia ya kuwasiliana nao kiurahisi.
 
Hii Habari imenishtua, ila si kama ulivoindika.

Qatar wamesema hawatakuwa msuluhishi kama pande zote za mgogoro hazitaki kukubaliana kwa uaminifu, ndio ikaenda mbali na kusema haioni maana ya uwepo wa ofisi ya masuala ya Kisiasa ya Hamas nchini humo, hili neno la pili ndio limetafsiriwa hivyo.

Qatar imeenda mbali na kuona inakuwa blackmailed kwa sababu tu imejitolea kuwasuluhisha Israel na Hamas.

Hamas wanatakiwa wakubali jambo moja wameshindwa vita na hawana uongozi, wanachofanya Hamas Gaza ni sawa na Ujambazi tu, sio tena mapigano ya ukombozi, Qatar wameshatishiwa Kushambuliwa na Houthi, Iran na vikundi vya Kishia kisa tu wanaongea vyema na Israel.

Watu waelewe kuwa si lazima kuisaidia Palestina
 
Wewe kweli Punguani Habari za Hamas unazitoa Israel nimecheka sana unawalisha uharo wakole wenzako hata bila kuhoji wanashangilia tu 😀😀 soma hii chini.


View: https://x.com/suppressednws/status/1855324721233179072?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Haya Genious nioneshe njia moja ambayo Palestina hawajaifanya kudai nchi yao.
 
Hata kama habari ni sahihi usiongeze vikorombwezo ambavyo vinaondoa mantiki.

Just saying
 
Wachafuzi wa jf kwenye ubora wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…