Serikali ya Qatar yaiagiza kikundi cha kigaidi cha Hamas kufunga ofisi zake zilizoko Doha na kuondoka mara moja

Serikali ya Qatar yaiagiza kikundi cha kigaidi cha Hamas kufunga ofisi zake zilizoko Doha na kuondoka mara moja

Hii Habari imenishtua, ila si kama ulivoindika.

Qatar wamesema hawatakuwa msuluhishi kama pande zote za mgogoro hazitaki kukubaliana kwa uaminifu, ndio ikaenda mbali na kusema haioni maana ya uwepo wa ofisi ya masuala ya Kisiasa ya Hamas nchini humo, hili neno la pili ndio limetafsiriwa hivyo.

Qatar imeenda mbali na kuona inakuwa blackmailed kwa sababu tu imejitolea kuwasuluhisha Israel na Hamas.

Hamas wanatakiwa wakubali jambo moja wameshindwa vita na hawana uongozi, wanachofanya Hamas Gaza ni sawa na Ujambazi tu, sio tena mapigano ya ukombozi, Qatar wameshatishiwa Kushambuliwa na Houthi, Iran na vikundi vya Kishia kisa tu wanaongea vyema na Israel.

Watu waelewe kuwa si lazima kuisaidia Palestina
Wameshindwa ila bado wanapigana sasa kama israhell imeishinda hamas si waikalie Ghaza wanangojea nini nawe mchambuzi dah
 
Hamas ni chama cha siasa chenye makazi yake Gaza kikiwa na lengo la kiokomboa Palestina dhidi Mkoloni Israel.

Hamas haina tofauti na Tanu, ANC, Frelimo na vyama vingine vya ukombozi ambavyo vilipugania Uhuru katika mataifa yao.
Acha upuuzi! Usifananishe wapigania Uhuru wazalendo akina Mandela na makundi ya magaidi ya kidini.
 
Acha upuuzi! Usifananishe wapigania Uhuru wazalendo akina Mandela na makundi ya magaidi ya kidini.
Usikatae uhalisia mzee!
Screenshot_2024-11-11-09-06-49-61_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Hamas ni chama cha siasa chenye makazi yake Gaza kikiwa na lengo la kiokomboa Palestina dhidi Mkoloni Israel.

Hamas haina tofauti na Tanu, ANC, Frelimo na vyama vingine vya ukombozi ambavyo vilipugania Uhuru katika mataifa yao.

Kafiri atabaki kafiri tu
Mtumwa anaona akitukana kwa kiarabu basi anapata thawabu!
 
Je Israel imekubali masharti ya Hamas ya kuachia wafungwa watoto wa Kipalestina magerezani!??
Kwani Hao unaowaita "wafungwa Watoto wa Kipalestina" walifungwa i.e. wapo magerezani kwa kutekwa au kulikuwa na makosa ya kisheria na mchakato mahakamani ukawapata kuwa na hatia na wakahukumiwa adhabu ya kifungo Magerezani? Kwa mantiki hiyo hao mateka wanaoshikiliwa na HAMAS wana Hatia au makosa gani? Mbona ni kama HAMAS inataka kufanya Biashara na hao mateka? "Rob Peter to pay Paul"???
 
Wakaishi Gaza mbna wanahangaika Sana au kwa sababu wanajua hapo gaza sio kwao mda wowte wanaondoka ndo maana hawataki kuweka ofisi za kudumu!!
Nyumba za wenzenu zina bima , usihis kila sehemu wanaish huku mabonde kuinama kwa mama Abdul
 
Back
Top Bottom