Serikali ya Rwanda inajenga nyumba self contained kwa wasio na uwezo

Serikali ya Rwanda inajenga nyumba self contained kwa wasio na uwezo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ni nyumba ya vyumba viwili. Sharti la kuingia humo ni kusaini mkataba na serikali kuwa hutaiuza wala kuipangisha ni kwamatumizi yako na familia
Swali ninalo jiuliza ni kuwa wanalipa kodi au service charges? Ni jukumu la mpangaji kufanya repair kukiwa na kasoro?

Hii inaitwa investing in people, binadamu wanapoishi kwenye mazingira mazuri hata afya zao zina imarika.
yaka

1623021197752.png


1623020882053.png





1623020882053.png

1623020899599.png

1623020882053.png

1623020899599.png
 
Ni nyumba ya vyumba viwili. Sharti la kuingia humo ni kusaini mkataba na serikali kuwa hutaiuza wala kuipangisha ni kwamatumizi yako na familia
Swali ninalo jiuliza ni kuwa wanalipa kodi au service charges? Ni jukumu la mpangaji kufanya repair kukiwa na kasoro?

Hii inaitwa investing in people, binadamu wanapoishi kwenye mazingira mazuri hata afya zao zina imarika.
yaka

View attachment 1810895

View attachment 1810891




View attachment 1810891
View attachment 1810892
View attachment 1810891
View attachment 1810892
Hata wapinzani wake nao wanajengewa kwa vile ni raia wa Rwanda au propaganda za kawaida za kutaka kuonekana inafaa?
 
Back
Top Bottom