Uko macho saa nane hii [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hii nimeipata kwenye African report files huko ameshapata credit.
Hata wapinzani wake nao wanajengewa kwa vile ni raia wa Rwanda au propaganda za kawaida za kutaka kuonekana inafaa?Ni nyumba ya vyumba viwili. Sharti la kuingia humo ni kusaini mkataba na serikali kuwa hutaiuza wala kuipangisha ni kwamatumizi yako na familia
Swali ninalo jiuliza ni kuwa wanalipa kodi au service charges? Ni jukumu la mpangaji kufanya repair kukiwa na kasoro?
Hii inaitwa investing in people, binadamu wanapoishi kwenye mazingira mazuri hata afya zao zina imarika.
yaka
View attachment 1810895
View attachment 1810891
View attachment 1810891
View attachment 1810892
View attachment 1810891
View attachment 1810892