Huyu bibi hamna kitu na atakuwa katili sana kuliko meko sababu hajiamini, ana inferiority.Nilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda,the worst is yet to come.CCM haina uwezo wa kutoa kiongozi mwenye akili.Period.
Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato.Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!
Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
Washauri wa Magufuli ndio washauri bibi, hivyo tusitegemee jipya ni ukatili mtindo mmojaMwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Ni sahihi unachosema.Acha ramli hizi. How do explain about JK or Mkapa aliyetesa wapinzani na wote wakamaliza muda wao. huyo Magufuli alipoapa na kumaliza first term, Mungu alikuwa hajamuona bado? Sikubaliani kabisa na udhalimu, lakini pia sikubaliani na haya mambo kuwa ukiapa kwa Bible/Quran ukawa dhalimu basi utakufa kabla ya kumaliza muda wako. Mambo ya kifo ni Mungu mwenyewe ndiye anapanga ufe lini.
Alikuwa muungwana lakini upinzani hawakuujali uungwa wake kina mdude vilaza wakaanza kumkejeli wacha waipate maana wamekuwa wajingaMwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Mdude ana cheo gani CHADEMA?Alikuwa muungwana lakini upinzani hawakuujali uungwa wake kina mdude vilaza wakaanza kumkejeli wacha waipate maana wamekuwa wajinga
Ni mpuuzi tu hana maanaMdude ana cheo gani CHADEMA?
Unakataa nini au hujui kiswahili- GAIDI NI NANI=π€£π€£π€£π€£ Mbowe gaidi... Mama kaanza na moto sana kupita JPM
Wewe acha uongo,Samia alivyoingia Ikuru aliwatoa wote waliokuwa wakifanya kazi na Magufuri, mpaka Katibu mkuu,akateua washauli wapya,au nikuletee tarifa za Msigwa za uteuzi wa viongozi wa state house?Samia anawashauli wake acha kumsingizia Magufuri.Washauri wa Magufuli ndio washauri bibi, hivyo tusitegemee jipya ni ukatili mtindo mmoja
Najiuliza hivi kwanini watawala wanakua na macho lakini hawaoni, masikio lakini hawasikii?? Hivi kuna wakati wa mateso, kupotea, kuporwa haki zaidi ya kipindi cha JPM??? Ni nini kilichopatikana kwa kufanya hayo yote zaidi ya utawala kubadilika kutoka awamu ya tano kuwa ya sita?? Wanashindwaje kuiona adhabu ya Mungu kwa wadhulumu aka dhulumati? NashangaaaMwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Walimtishia Samia,kuwa wembe ulionyoa Magufuri ndio huo utakao nyoa Samia,na Mbowe akashangiri wala akukanusha, lazima Samia ahanze kujiami mapema Kabla ya kunyolewa ππππYaani hawa police hawana hata aibu....Mbowe amekua kiongozi wa upinzani miaka mingapi..iweje leo ndio atake kuua viongozi wa serikali?
Acha unyenye kulia lia!!??Mwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Mshauri mkuu wa rais ni baraza la mawaziriWewe acha uongo,Samia alivyoingia Ikuru aliwatoa wote waliokuwa wakifanya kazi na Magufuri, mpaka Katibu mkuu,akateua washauli wapya,au nikuletee tarifa za Msigwa za uteuzi wa viongozi wa state house?Samia anawashauli wake acha kumsingizia Magufuri.
Safari hii delta inaondoka na akina mama, akae chonjo, mghwira tayari kashafungua njiaNilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda,the worst is yet to come.CCM haina uwezo wa kutoa kiongozi mwenye akili.Period.
Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato.Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!
Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.