Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Tigray haipo sudan, ipo Ethiopia.Darfur likiwa taifa, Tigray ni next.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tigray haipo sudan, ipo Ethiopia.Darfur likiwa taifa, Tigray ni next.
Hajamaanisha iko wapi, alichomaanisha iwapo Darfur ya Sudan itakuwa taifa, Jambo hili litaamusha ari ya Watigray wa Ethiopia kudai mamlaka zaidi na kuwa taifa.Tigray haipo sudan, ipo Ethiopia.
Bado hajakubali huyo, anajaribu kufanya maamuzi ya kuigawa nchi halafu yeye kuchukua upande wa bahari na kuufanya upande wa Khartoum kuwa landlocked, just kama Eritrea walivyoifanyia Ethiopia.
Tigray ni swala la muda tu. Wana kila kitu wale.Darfur likiwa taifa, Tigray ni next.
Dodoma?Waende Kasulu.Haya mambo wakat mwingine unayafikiria unashindwa kuelewa, imagine mkuu wa majeshi( JWTZ) anawaachia waasi watawale Dar Es salaam Kisha yy na jeshi lake waende Dodoma.
SawasawaHajamaanisha iko wapi, alichomaanisha iwapo Darfur ya Sudan itakuwa taifa, Jambo hili litaamusha ari ya Watigray wa Ethiopia kudai mamlaka zaidi na kuwa taifa.
Aibu kubwaBado hajakubali huyo, anajaribu kufanya maamuzi ya kuigawa nchi halafu yeye kuchukua upande wa bahari na kuufanya upande wa Khartoum kuwa landlocked, just kama Eritrea walivyoifanyia Ethiopia.
View attachment 2753136
Ni kwamba burhani na dagalo walikubaliana baada ya kumpindua raisi al bashir ba watawale kidogo then serikali ya kiraia iingie madarakani lakini hadi sasa burhani kanogewa na madaraka hataki ayapeleke kwa raiaBurhani alitaka daglo na kikosi chake waingie/wawe chini ya jeshi la nchi,daglo akaona atakua mdogo,hapo daglo ndiyo mpumbavu,Hana uzalendo,huwezi kuwa na majeshi mawili ndani ya nchi
Sasa hataki, yamemkuta, ataandikwa na historia kuwa kaisambaratisha Sudan iliyokuwa imara.Ni kwamba burhani na dagalo walikubaliana baada ya kumpindua raisi al bashir ba watawale kidogo then serikali ya kiraia iingie madarakani lakini hadi sasa burhani kanogewa na madaraka hataki ayapeleke kwa raia
Haya mambo yanataka kila mtu kujishusha kwa maslahi ya maisha ya binadamu wengi. Wote ni wajinga tu. Huwezi kupigana vita inayoua mamia ya ya watu kwa sababu tu unataka fulani awe chini yako.Burhani alitaka daglo na kikosi chake waingie/wawe chini ya jeshi la nchi,daglo akaona atakua mdogo,hapo daglo ndiyo mpumbavu,Hana uzalendo,huwezi kuwa na majeshi mawili ndani ya nchi
Kwamba dagalo anataka yaende kwa raia!?Ni kwamba burhani na dagalo walikubaliana baada ya kumpindua raisi al bashir ba watawale kidogo then serikali ya kiraia iingie madarakani lakini hadi sasa burhani kanogewa na madaraka hataki ayapeleke kwa raia
Tatizo la watigray walpokuwa madarakan walimnyanyasa sana Eritria sasa na wao walipopata matatizo na Serikali kuu eritria akawabania ndio anguko lao hawatapata kituTigray ni swala la muda tu. Wana kila kitu wale.
Ndiyo maana Tigray walipotaka kujitenga, faster Eritrea akaenda kuisaidia serikali ya Addis AbabaTatizo la watigray walpokuwa madarakan walimnyanyasa sana Eritria sasa na wao walipopata matatizo na Serikali kuu eritria akawabania ndio anguko lao hawatapata kitu
Kuna kundi lingine limeibuka juzi huko port Sudan, Majeshi ya serikali yakutana na waasi na kurushiana risasi. El Burhan hakutarajia hili.Kwahiyo akihamia huko ,mkong'oto hautakuwepo ,general huyo port Sudan haijui ?
Hatimaye miezi mitano. Kweli usiidharau Vita.....ndani ya wiki mbili tu[emoji28]
Soma historia, haya mambo aliyaanzisha OmarBurhani alitaka daglo na kikosi chake waingie/wawe chini ya jeshi la nchi,daglo akaona atakua mdogo,hapo daglo ndiyo mpumbavu,Hana uzalendo,huwezi kuwa na majeshi mawili ndani ya nchi