Serikali ya Tanzania ifute SAPU kwa Master's Level! ni aibu na mfumo wa kitoto

Serikali ya Tanzania ifute SAPU kwa Master's Level! ni aibu na mfumo wa kitoto

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Kwa kweli level ya MASTERS ni aibu kuweka Supplementary exams kwa kuwa hii ni levo ya kujengana uelewa tu!

Mimi nashauri serikali wangeweka utaratibu wa mtu kurudia darasani kwa muda mfupi somo ambalo mtu hajafanya vizuri! au akipewa mtihani kama anatakiwa kupata A apewe sio kulazimisha marks za chini.

Ni aibu sana kwa level hii kumpa mtu sup ina maana mwalimu anakuwa naye kafeli kumuelekeza mwanafunzi wake kwa level hii.

Kuna vyuo wanalipisha hela kwa ajili ya sapu! Hii inakuwa kama biashara walimu wanashindana kufelisha ili kupata posho ya kusahihisha sapu! sijajua kazi ya NACTE na TCU ni nin katika kushauri haya mambo ya aibu.
 
Utakuwa unasoma master s mzumbe ya dar au mbeya

Pole Sana mzumbe kupewa masters unaweza kuwepo miak mine chuo au tano achana na hiko chuo nenda zako iaa ukasome finance and investment
 
September conference na kunywa supu haikwepeki. Vyuo karibu vyote duniani vina hiyo kitu. Huitaki hiyo fanya masters by research.
 
September conference na kunywa supu haikwepeki. Vyuo karibu vyote duniani vina hiyo kitu. Huitaki hiyo fanya masters by research.
Hivi masters ya dissertation na by thesis ni vitu gani au ipi ni by research hapo?
 
Hivi masters ya dissertation na by thesis ni vitu gani au ipi ni by research hapo?
Masters by research ina jumuisha zote mbili. Jina kutegemea chuo wanatumia jina gani. Hakuna course work rasmi.
 
Back
Top Bottom