Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Hatimaye Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, POSTA, Wananchi tunasubiri TTCL na BRT.
Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kurejesha heshima ya nchi iliyokuwa imepotea kwa muda mrefu mmejitahidi sana.
Miakaka ya nyuma hatukuwa na ndege wala tren za kisasa vilevile POSTA iliyumba sana tulibakiwa na masanduku tu ya kupokea barua ambazo kwa ulimwengu wa sasa zimepitwa na wakati lakini sasa tunatuma na kupokea mizigo kutoka mataifa mbalimbali.
Tunaomba mrejeshe shirika la TTCL ili Watanzani tujivunie kuwa na chetu na kuimarisha BRT kwasababu wananchi wanapata usumbufu mkubwa sana kwenye Mwendokasi.
Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kurejesha heshima ya nchi iliyokuwa imepotea kwa muda mrefu mmejitahidi sana.
Miakaka ya nyuma hatukuwa na ndege wala tren za kisasa vilevile POSTA iliyumba sana tulibakiwa na masanduku tu ya kupokea barua ambazo kwa ulimwengu wa sasa zimepitwa na wakati lakini sasa tunatuma na kupokea mizigo kutoka mataifa mbalimbali.
Tunaomba mrejeshe shirika la TTCL ili Watanzani tujivunie kuwa na chetu na kuimarisha BRT kwasababu wananchi wanapata usumbufu mkubwa sana kwenye Mwendokasi.