Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, na Posta. Wananchi tunasubiri TTCL na BRT

Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, na Posta. Wananchi tunasubiri TTCL na BRT

Wameboresha ili wayafilisi. Unatumia mabilioni kuwekeza ili kila mwaka upate hasara si upunguani? Serikali ingeachia sekta binafsi iendeshe hayo mashirika au CEO wake wasitokane na CCM wala serikalini. Wamtoe toka nje ya Tanzania.
 
Ndiyo tunapongeza jitihada zilizofanywa kurejesha huduma hizo lakini tujiulize, Je, hizo huduma hazikuwepo awali?
Kama zilikuwepo nani aliziharibu, alichukuliwa hatua gani?
Tusipokuwa Wazalendo kuthamini vitu vyetu tutakuwa Taifa la kwenda na kurudi.
 
Ndiyo tunapongeza jitihada zilizofanywa kurejesha huduma hizo lakini tujiulize, Je, hizo huduma hazikuwepo awali?
Kama zilikuwepo nani aliziharibu, alichukuliwa hatua gani?
Tusipokuwa Wazalendo kuthamini vitu vyetu tutakuwa Taifa la kwenda na kurudi.
Bila umakini tutakwama tena
 
Back
Top Bottom