Serikali ya Tanzania imeshindwa kuajiri watumishi wa Afya, imekuja na mbinu za kilaghai

Serikali ya Tanzania imeshindwa kuajiri watumishi wa Afya, imekuja na mbinu za kilaghai

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
mambo yamekua mazitokupita kiasi, mpaka sasa vituo vya afya vilivyopo havina watumishi wa kutosha achilia mbali zile zahanati za vijijini ambazo unakuta zina muhudumu mmoja mmoja akipata dharula anafunga kituo.

sasa vituo vingi vimejengwa na vinaenda kukamilika Rasilimali watu hakuna.

serikali imeamua ije na mbinu za kilaghai kuwalaghai wanafunzi wanaograduate wakajitolee na wajesabike kwa kusaini mikataba kabisa kwa ujira mdogo sana wa pesa ya kubrashia viatu na kununulia vitafunwa vya chai.

huu ni unyonyaji, tuliwaambia CCM haina pumzi tena wamekalia kulipa mishahara watu kama polepole na bashiru ambao hawana kazi yoyote wanayofanya eti mbunge wa kuteuliwa na Rais.

vyeo hewa vimejana serikalini wakati huduma za msingi na muhimu wananchi wanakosa.

mmeamua kutumia cheap labour kwa nguvu zote ili muwape tu posho ya kununulia vitafunwa?

naomba kuuliza hawa volunteer watapewa na mda wa kutosha kutafuta ridhiki sehemu nyngine? maana ni ngumu mtu anafamilia kuendesha maisha kwa posho ya kujitolea.

IMG_20210916_142047.jpg

IMG_20210916_143121.jpg
 
Na ajira zikitoka ajirini haohao

USSR
 
Ukuda wote huu wa watu kujitolea bila mpango aliuanzisha Magu kwa walimu,sasa imekua ndio trend.

Aliharibu Sana nchi yule jamaa.
 
Kwanza serikali imechelewa Sana kutoa huo muongozo,pili Vituo vya afya vinaratibiwa chini ya mamlaka ya serikali za mitaa sasa lazima kuwalazimisha Halmashauri waajiri watoa huduma kwa mikataba..

Mwisho badala ya kuajiri watu kwa ajira ya kudumu kuwe na ajira za mikataba kwenye sekta ya umma Ili kuleta ufanisi
 
Huu ni UPUUZI MTUPU! Kwa sababu Watanzania wengi vijijini hawana access na mtandao kwa hiyo moja kwa moja huku ni KUKURUPUKA.
 
Sera ya ajira Tanzania imetungwa na wanasiasa ili kuwasaidia wanasiasa ..jiulize eti mama makinda amefanya kazi kila aina toka miaka ya 70's, akastaafu lakini eti leo kawa kamishna wa sensa kitaifa wakati kuna waliosomea takwimu wana masters zao na hawana kazi. Nchi ya wenye pesa hii wanyonge kausheni kwanza
 
Back
Top Bottom