Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

Kuna mtu ameiba PC Yako na kutype haya?

Anyway, Putin amedhamiria time hii, Afrika itanyooka tu!!
 
Ni wewe Faiza umeandika huu uzi au Akaunti yako imevamiwa!🤣🤣🤣🤣
Tulieni Mama afungue nchi!
Naam, "msiogope mabadiliko, nendeni mkabadilike" - Rais mama Samia.
 
Serikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa,
Too late. Too little.The die is cast.
Kwanza hata hamjui muanzie wapi!

Huyo mwenye hizo 'R', kwanza yeye mwenyewe hajui zinahusu nini?

Ni kama umezinduka toka usingizini, ambako umetokewa na njozi ya kutisha sana!
Hiyo haikuwa ndoto; hii ni hali halisi.
 

Siamini kama faiza unaweza ukawa smart hivi. Siku zote sasa mbona huwa unajitoa akili? Au account yako imekuwa hacked? Tukiwaambia kuwa hata sisi tumefaidika na mfumo lakini imefikia hatua tunajisikia guilty. Hizi pesa zinakopwa tunakula tu posho na safari. Sometimes inakuja huruma nikiwatizama watanzania wenzangu kwa kodi na tozo walizo nazo. Mnyeezi Mungu atusamehe.
 
Hunisomi tu, pitia nyuzi zangu nakuwekea link chini, nisome kwa utuvu, utanielewa tu:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…