THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Huu ni mpango wa kuharibu legacy ya magufuli
Huyu Waziri toka 2016 mpaka leo Hadithi ni hii hii hakuna jipya hapoKada ya elimu wataajiri watumishi wapya 10,297, afya 11,215, kilimo 1,383, mifugo 1,250, uvuvi 733, Jeshi la Polisi 1,782, Magereza 843, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Uhamiaji 512 na watumishi wapya wa hospitali za mashirika ya kidini na hiari 1,240.
Serikali ya Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2021/22 inatarajia kuajiri watumishi wa umma wapya 44,096.
Hayo yameelezwa leo Alhamisi Aprili 22, 2021 Waziri wa Nchi Ofisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa wakati akiwasilishwa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2021/22.
Amesema kada ya elimu wataajiri watumishi wapya 10,297, afya 11,215, kilimo 1,383, mifugo 1,250, uvuvi 733, Jeshi la Polisi 1,782, Magereza 843, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Uhamiaji 512 na watumishi wapya wa hospitali za mashirika ya kidini na hiari 1,240.
Amesema Serikali itaajiri watumishi 14,841 wa kada mbalimbali ikiwemo wahadhiri wa vyuo vikuu vyote vya umma nchini pamoja na kada nyingine ambazo haziko kwenye sekta zilizoainishwa awali.
Hata hivyo, amesema watumishi 92,619 wa kada mbalimbali watapandishwa vyeo na watumishi 2,360 watabadilishwa kada katika utumishi.
Amebainisha kuwa maelekezo yatakayotolewa wakati huo ni kuchambua na kuhakiki madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma 17,699 yenye thamani ya Sh37.47 bilioni na kuchukua hatua ipasavyo.
Aprili 15, 2021 Serikali ya Tanzania ilieleza matarajio yake ya kuajiri watumishi wapya 44,811 katika mwaka wa fedha 2020/21.
Hayo yalielezwa na aliyekuwa Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika wakati akiwasilisha bajeti yake kwa mwaka huo wa fedha.
Alitaja ajira hizo mpya kuwa ni kada ya elimu (13,529), afya (10,467), kilimo, mifugo na uvuvi (2,145) Jeshi la Polisi (2,725), magereza (685), Jeshi la Zimamoto (501), uhamiaji (495) na hospitali za mashirika ya kidini na hiyari (1,262).
Chanzo:
Na wala Hailindwi inajilindakuajiari watu kuna haribuje legacy? legacy itajitetea yenyewe.
Ndugu hivi uko tanzania ya wapi hiyo au bado uko fm6uongo vyuo vyetu vyote ukijumlisha vinatoa graduate 1200 tu wa ualimu kwa mwaka ukipiga kwa miaka 20 nyuma ni elfu 24 tu!! hiyo laki tano umeitoa wapi?
Regacy gani aliyonayo magufuli ya kukopa mpaka deni la taifa kufika trion 71?Huu ni mpango wa kuharibu legacy ya magufuli
Haaaaa.....legacy haitaharibika mkuu vumilia sindano iingie.Huu ni mpango wa kuharibu legacy ya magufuli
Iboreshwe uku ikitoa ajira ndio formulaBinafsi sikubaliani na huu mfumo wa ajira wa sasa wa kutegemea ajira za serikali tu.
Serikali iboreshe mazingira watu wengi waajiriwe na sekta binafsi.
Serikali itaajiri hadi lini? Kwa presha ya sasa itabidi kila mwaka serikali ilazimike kuajiri ili kuwaziba watu midomo lakini hii sio njia nzuri ya kutatua tatizo.
Kwa mtindo huu wa kutegemea ajira za serikali na serikali ikawa inaajiri kila mwaka itafika wakati mapato yote na makusanyo yanaishia kwenye kulipana mishahara tu.
Serikali kwanza irekebishe mifumo, isambaze pesa sekta binafsi. Pili ipitie upya muundo wa watumishi wake. Unaenda shule za mjini waalimu 80, shule za vijijini waalimu 2.
Kabla ya kufikiria kuajiri, kwanza pitia miundo upya, boresha mazingira ya hao watumishi waliopo watafanya kazi kwa morali, mfano mwalimu leo analipwa 720,000. Unataka utajiri mwalimu mwingine, wakati hiyo hela ya mwalimu mpya ukiboresha mazingira kwa mwalimu aliepo ukamlipa 1M ama 1.1M, huyu atakua moralized sana na atafanya kazi hata ya waalimu 2.
Tuboreshesekta binafsi kwanza, pili tuboreshe maslahi ya watumishi tulionao kabla ya kufikiria kuajiri wapya.
Miaka 5 bila ajira wahitimu laki tano maana yake kila mwaka wahitimu laki moja wa ualimu.Ndugu hivi uko tanzania ya wapi hiyo au bado uko fm6
Udsm Baed tu ni zaidi ya 1000
Bado Bed kama 300
Bado wale wa science Conas 300
Bado coed special need kama 300
Haya Bado branches za udsm Duce na Muce chuo kizima kinatoa degree za education tu
Nenda udom ndio inaongoza kwa udahili utachoka asee hao 1200 ni udom pekee inatema na zaidi,
Hapo sijagusia vyuo vingine.
We ndiye muongo sospeteruongo vyuo vyetu vyote ukijumlisha vinatoa graduate 1200 tu wa ualimu kwa mwaka ukipiga kwa miaka 20 nyuma ni elfu 24 tu!! hiyo laki tano umeitoa wapi?
Dah cjui unawaza nn ndugu..kwa hio serikali isifanye chochote ..maaana kwa mtazamo wako wakiajir itakua wanataka kuharaib legacy ya magu hata wakijenga miundo mbinu bhc itakua wanataka kuharib legacy ..kwa maana hio nchi isifanye jambo lolote la kimaendeleo ili tuzid kumkumbuka huyo maguHuu ni mpango wa kuharibu legacy ya magufuli
Mkuu huoni wakiajiriwa hawa automatic sekta binafsi nayo inaneemeka?Binafsi sikubaliani na huu mfumo wa ajira wa sasa wa kutegemea ajira za serikali tu.
Serikali iboreshe mazingira watu wengi waajiriwe na sekta binafsi.
Serikali itaajiri hadi lini? Kwa presha ya sasa itabidi kila mwaka serikali ilazimike kuajiri ili kuwaziba watu midomo lakini hii sio njia nzuri ya kutatua tatizo.
Kwa mtindo huu wa kutegemea ajira za serikali na serikali ikawa inaajiri kila mwaka itafika wakati mapato yote na makusanyo yanaishia kwenye kulipana mishahara tu.
Serikali kwanza irekebishe mifumo, isambaze pesa sekta binafsi. Pili ipitie upya muundo wa watumishi wake. Unaenda shule za mjini waalimu 80, shule za vijijini waalimu 2.
Kabla ya kufikiria kuajiri, kwanza pitia miundo upya, boresha mazingira ya hao watumishi waliopo watafanya kazi kwa morali, mfano mwalimu leo analipwa 720,000. Unataka utajiri mwalimu mwingine, wakati hiyo hela ya mwalimu mpya ukiboresha mazingira kwa mwalimu aliepo ukamlipa 1M ama 1.1M, huyu atakua moralized sana na atafanya kazi hata ya waalimu 2.
Tuboreshe sekta binafsi kwanza, pili tuboreshe maslahi ya watumishi tulionao kabla ya kufikiria kuajiri wapya.
Mkuu 500K??? Kweli kada moja??? Au umekombine?Ndogo mnoooo hasa kwenya elimu, kuna graduate zaidi ya laki tano mtaani wa ualimu tu ambao wanaranda randa bila ramani.
Huyo ni mpiga propaganda achananae.Ndugu hivi uko tanzania ya wapi hiyo au bado uko fm6
Udsm Baed tu ni zaidi ya 1000
Bado Bed kama 300
Bado wale wa science Conas 300
Bado coed special need kama 300
Haya Bado branches za udsm Duce na Muce chuo kizima kinatoa degree za education tu
Nenda udom ndio inaongoza kwa udahili utachoka asee hao 1200 ni udom pekee inatema na zaidi,
Hapo sijagusia vyuo vingine vya kati na waajiriwa wengi wanatoka humo.
Hawa ambao wako kwenye system ,hawataki kabisa kusikia habari ya ajira mpya,Iboreshwe uku ikitoa ajira ndio formula
We jamaa umesoma chuo kipi? SAUT peke yake inaingiza zaidi ya 2000 kwa mwaka kada ya ualimuuongo vyuo vyetu vyote ukijumlisha vinatoa graduate 1200 tu wa ualimu kwa mwaka ukipiga kwa miaka 20 nyuma ni elfu 24 tu!! hiyo laki tano umeitoa wapi?